Duuuuh! Kaa chini kwanza!
Tena umpe na pepeo ajipepee hubby.
khaaaaaaaa ndoa yenu mmeifunga kisirisiri?? lolest!Tena umpe na pepeo ajipepee hubby.
Huku hakuna boycott ! Sijui ma'Strike sabotage ! Usije ukajaribu kutufundisha migomo! Mara kuulizia change ya kashfa ya Rada!
Huku tulishatajirikaga zamani !
Wala hakuna anaefikiria kuuza Twiga huku ! Au kuchukua miti ya Sao Hill kisha kuizungushia Mombasa na kuirudisha tena Tz na kuwauzia Tanesco kwa mintarafu eti imetoka bondeni , hapa hakunaga masafidi !
Huku hakuna boycott ! Sijui ma'Strike sabotage ! Usije ukajaribu kutufundisha migomo! Mara kuulizia change ya kashfa ya Rada!
Huku tulishatajirikaga zamani !
Wala hakuna anaefikiria kuuza Twiga huku ! Au kuchukua miti ya Sao Hill kisha kuizungushia Mombasa na kuirudisha tena Tz na kuwauzia Tanesco kwa mintarafu eti imetoka bondeni , hapa hakunaga masafidi !
mtotowamjini tafadhali naomba kumfahamu wifi yangu tafadhali!
Makubwaaa Madame B siku hizi hubby wake ni ruttashobolwa bila msajili wa ndoa na talaka Bishanga kuwa na taarifa?