St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Hebu nikapate lunch kwanza ,ninadhani nina mengi sana ya kuzungumza hapa(cheating nd being cheated)......Tot zo....
The first option is true. Women are better secret keepers.
Labda uongezee nyingine ya 'better pretenders'. Atatoka small house roho kwatuu, akifika kwa mumewe/bf with a wide smile you won't suspect a thing. Ila mwanaume akitoka small house utadhani alilishwa shubiri kisirani chake (sijui huwa hasira ya kuchunwa?)
Hehehe! Aisee, my AK47, kama unayo mwezi wa toba huu!
Nawafahamu kibao wanaowalaza shemeji zao kwenye mninga. Na hapo wanapewa siri zote za wake zao. Ukitaka kujua siri ya mkeo, jenga urafiki wa karibu na ndugu zake wa kike. Kwishney!!
Nawafahamu kibao wanaowalaza shemeji zao kwenye mninga. Na hapo wanapewa siri zote za wake zao. Ukitaka kujua siri ya mkeo, jenga urafiki wa karibu na ndugu zake wa kike. Kwishney!!
We ndo umenielewa vizuri sasa. Hebu wafafanulie Kongosho na BADILI TABIA mpwa.Alafu ukimmega huyo shemeji yako ndo utapewa data kibao
'connection' ni,imaanisha chemistry au hata jografia tu, hata civics angalau iwepo kati ya sex partners
Hebu fikiria,
Umemfuma mmeo na mwanamke mwingine
Na wewe unaamua kufanya revenge
Utakamata mwanamme yeyote next door atakayekutongoza???
Hata kama unafanya kazi ofisi ya watu 200, kunaweza kuwa hakuna hata mmoja anayeshtua mshipa wako?
Najikanganya zaidi au unanielewa?
Wa kufanya naye
na mwanamke yoyote atakae cheat na "kuhisiwa"...wachia mbali "kufumaniwa" siku zote nawaitaga wapumbavu/wajinga wa mwisho kwenye hii dunia, kama huwezi/muoga/hofu tulizana......na hao wanaosema mwanamke hana koromeo basi cjui wanakutana na wanawake wa namna gani, wengi wetu tuna makoromeo balaa...sidhani kama kuna kiumbe anaejua kuficha siri kama mwanamke, mie nimefuzu hii kitu....weekend njema.
Kwe hiyo umedeclare kwamba sote tunacheat??
Babu huwa hausiki kabisa....He is retired!!
Babu DC!!
hahahah Mama Mkwe umenichekesha sana karibu sana weekend
Kula kunywa kulala bure .
Ila bado najiuliza kama kila kitu unapata kwa mwenza upendo,mapenzi,mahitaji muhimu
Sababu ya kucheat ni nini?
yeye mwanaume hayapati hayo kwako? mbona ana cheat?, na kumbuka wanawake wengi tunafanya haya coz ya hawa wanaume ze2, mtu anafanya anajisahau kabisa kabisa kama ana majukumu yanamkabili,heshima ya nyumba kai2pilia mbali, tufanyaje? ni hivi ukimkuta mwanamke anae cheat wakati kwake mambo shwari huyo ana ugonjwa wa kutekenywa, tunafanya coz wanatufanya/wanatulazimisha tufanye.....haki sawa kwa kila mtanzania....mkwe naendelea hapa najua tarehe bado zinasoma ucjeniacha nikakabwa hapa na wahudumu.....mie nimecharara kabisa pesa zote nimemalizia kwenye michango ya kitchen party!
hivi kucheat ni kutoka kula k ya pembeni au k kuliwa pembeni tu sio? kwani kuna big deal gani..
hivi kucheat ni kutoka kula k ya pembeni au k kuliwa pembeni tu sio? kwani kuna big deal gani..
na mwanamke yoyote atakae cheat na "kuhisiwa"...wachia mbali "kufumaniwa" siku zote nawaitaga wapumbavu/wajinga wa mwisho kwenye hii dunia, kama huwezi/muoga/hofu tulizana......na hao wanaosema mwanamke hana koromeo basi cjui wanakutana na wanawake wa namna gani, wengi wetu tuna makoromeo balaa...sidhani kama kuna kiumbe anaejua kuficha siri kama mwanamke, mie nimefuzu hii kitu....weekend njema.
Leo kazi yangu ilikua kutoa malaiki tuuuu,bado mbichiiii kwenye nyanja hizi........Ila nakiri kuwa nimejifunza kitu hapa:whoo:
cacico na BADILI TABIA huyu mme wetu mie sikuona chochote alichoandika mjue:rolleyez:........ Asprineace:
Wewe ushawahi kucheat?