SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,758
Mleta hoja lazima unalingana maelezo ya Masaburi kwa wabunge wa magamba. Tumia akili kufikiri
<br />Mnaji register kwa kuleta udaku! Date join 11the August 2011<br />
Post 4.
Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
Huo ungangari wa UMBEYA utakupeleka pabaya!Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
Unajuaje, labda alilala naye!Nakumbuka Hiza Tambwe wakati yupo CUF, aliwahi kula kiapo kuwa akirudi CCM ni bora alale na mama yake mzazi.
Lakini mwisho wa siku akahamia CCM.
nazani umeeanza kuchanganyikiwa! mala ya mwisho umeonana lini na daktari wako wa akili?Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
<br />Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
Unajuaje, labda alilala naye!