Hizza Tambwe, Lwakatare, Akwilombe waomba kurejea CUF

CUF Ngangari

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
273
51
Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
 
Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
<br />
<br />
source plze
 
Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
Mkuu, hii habari mpelekee Shigongo utapata pesa
 
Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
<br />
<br />
Usilete brabra leta source hapa binafsi cpend kumuhukumu mtu hivihivi
 
Richard Hizza tambwe aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kitengo cha propaganda na Wilfred Lwakatare ambaye ni mwasisi na alipata kushika nyadhifa tofauti ndani ya CUF kama naibu katibu mkuu, kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni 2000-2005 wana mpango wa kurudi ndani ya CUF na kuwaomba msamaha wanachama wa CUF.
<br />
<br />
Acha usanii brother,hao jamaa hawawezi kurudi cuf!
 
CUF HAITAKI WANAFIKI NA HAILAMBI MATAPISHI YAO,KUMBUKA kila alietoka cuf huwa anapotea na anafulia haswa,hata kama alikua anavuma kuliko tsunami alipokua cuf,akitoka kwishnei,wapo wengi na ushahdi upo anzia kwa mapalala,nayule aliekua mwakilishi wamkunazini zenj,na akwilombe,hiza lwakatare,tumbo,jidawi,fatma magimbi,tambwehiza,wamefulia tena wengine hata hawasikiki, kweli laana ya cuf kiboko.
 
Mnaji register kwa kuleta udaku! Date join 11the August 2011
Post 4.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom