Maalim Chimpumu
Senior Member
- Apr 29, 2014
- 125
- 33
Madhara ya Katiba mbovu inayompatia fursa rais kuteua mtu yeyote na idadi yoyote ya mawaziri wakati mwingine kadri anavyoshauriwa au kadri ya maslahi na matakwa ya mke wake au hata watoto wake.
Mbona Dj mbowe kateua idadi ile ile ya mawaziri sawa na mawaziri wa CCM, Kwahiyo Dj Mbowe alishauriwa na JOYCE MUKYA au!??.
Mmeshindwa kuonyesha mfano!. Wote ni ukoo wa panya!