Hizo brief case za akina baba/kaka...zinaficha makubwa!

Maadam mmelianzisha basi tumalizie kabisaaaaa: Hayo mabriscafe sijui briefcase huwa mnabeba nini humo? Sanduku zima zitoooooo unakuta mtu anazunguka nalo.Niliwahi kuona mbaba mmoja kila mara anazunguka na briefcase yake hata akienda chooni!
Kumbe bwana mule ndani kaweka maandazi na chapati anaogopa akiicha watu watamwekea sumu!
Halafu pia wanaweka condom, barua za wapenzi wao, wanaficha humo picha za mahawara zao........ kibaya zaidi zina combination namba huwezi kuchungulia mpaka mwenyewe akuruhusu!....... bisheni!

Nabisha kwa nguvu zote...briefcase yangu imejaa makaratasi tu na mambo yasiyo rasmi.
 
Nimeipenda hiyo sehemu!
Za wengine zimejaa nini?

Sijui hata...condom zipo madukani kisa cha kubeba na kutembea nazo kila upande kama zimegeuka almasi ninini? Wengine wanaona aibu ati kuacha makaratasi yao juu ya meza wake zao wakisoma wanaweza kuzimia.Wanaweza kugundua kuwa wanaume zao ni misheni town hata kama wameajiriwa maofisini. Ni watu wa deals kwa kwenda mbele.
 
Maadam mmelianzisha basi tumalizie kabisaaaaa: Hayo mabriscafe sijui briefcase huwa mnabeba nini humo? Sanduku zima zitoooooo unakuta mtu anazunguka nalo.Niliwahi kuona mbaba mmoja kila mara anazunguka na briefcase yake hata akienda chooni!
Kumbe bwana mule ndani kaweka maandazi na chapati anaogopa akiicha watu watamwekea sumu!
Halafu pia wanaweka condom, barua za wapenzi wao, wanaficha humo picha za mahawara zao........ kibaya zaidi zina combination namba huwezi kuchungulia mpaka mwenyewe akuruhusu!....... bisheni!

Briefcase ni ofisi. Hata jamaa wa Dowans nasikia kila nyaraka ziko mkobani na hawana ofisi
 
Sijui hata...condom zipo madukani kisa cha kubeba na kutembea nazo kila upande kama zimegeuka almasi ninini? Wengine wanaona aibu ati kuacha makaratasi yao juu ya meza wake zao wakisoma wanaweza kuzimia.Wanaweza kugundua kuwa wanaume zao ni misheni town hata kama wameajiriwa maofisini. Ni watu wa deals kwa kwenda mbele.

Unaona ehhhhhh??
Hiyo ya mwanzo nimeipenda zaidi. Kuna wabebacho wanawake kwenye pochi ambacho hakipo madukani?

Hapo bold ya pili..asante.... si umeona ehhhh? Uhalifu ndani ya begi!
 
Ha ha ha!
Tausi umenifurahisha kweli.
Wengine wanawekaga soksi zao chafu na vest.
Jamani hawa wanaume! Lol!
Kuna mmoja huyo hadi viporo vya ubwabwa eti anaenda kunywea chai ofisini.
 
Hus,
Nimecheka sana. Unajua hizo briefcase zinaweza kukupa picha ya mtu alivyo.View attachment 22082Hii kwa mfano inaweza kubeba computer na makaratasi na hata mihuri etc.
Ukiona mtu kabeba hii unapata picha kuwa yuko serious..pedegee fulani hivi.
 
wengine tunaweka hii kitu ndani.
View attachment 22083

hii inawekwa humu... brief case ya bunduki.jpg
 
Briefcase ni ofisi. Hata jamaa wa Dowans nasikia kila nyaraka ziko mkobani na hawana ofisi
NDIO MAANA UNAKUTA MTU ANATEMBEA NA MKOBA MKUUBWA - Pilot case kama hii brief case 10.jpg
Jamani mjuage pia kila aina ina kazi zake..siyo unavamia tu mradi nawe uonekane una brief case...Marubani wanabeba hili kwa sababu kuna yao wanayobeba humo. sasa wewe mwenzangu na miye mbangaizaji...mhhh! VIMEHUSU?
 
mimi sioni briefcase tena siku hizi labda wahasibu wa wahindi!
Most men carry Carrycases for notebooks,laptops,office docs,cheque books and related items...na hii inatokana na kuzidiwa na kazi na pia movement zimekuwa ngumu due to cost and traffic jams hivyo mtu anarahisisha kuwa na vyote wakati wowote na mahali popote!
 
mimi sioni briefcase tena siku hizi labda wahasibu wa wahindi!
Most men carry Carrycases for notebooks,laptops,office docs,cheque books and related items...na hii inatokana na kuzidiwa na kazi na pia movement zimekuwa ngumu due to cost and traffic jams hivyo mtu anarahisisha kuwa na vyote wakati wowote na mahali popote!

Hili neno....... na ndio maana sikulizungumzia hili.... nazungumzia "Briefcases", siyo hata "gun cases" japo kuna mtu amejaribu kusema wanaweka bastola kwenye " briefcase"....

Wapo bado wenye kubeba briefcases "zilizojaa noti"!
 
Hili neno....... na ndio maana sikulizungumzia hili.... nazungumzia "Briefcases", siyo hata "gun cases" japo kuna mtu amejaribu kusema wanaweka bastola kwenye " briefcase"....

Wapo bado wenye kubeba briefcases "zilizojaa noti"!

wapo hao wabebao mi-briefcase kila uchao kwa safari zao zisizoisha za kifisadi.........
hao wawekao pistol mikobani ni sawa na kwenda shamba jembe umeacha nyumbani..labda kama ni ya mwanasesere
 
"anaekwenda asiko jua hapotei njia"

Hizi harakati za usawa wakati mwingine zinakosa mshiko kabisa, shida mmeongelewa hand bag zenu wadada basi ili kuhakikisha mna-balance vitu kwa nguvu mmeamua kutunga uongo.
 
Back
Top Bottom