Hizi tuhuma kwa Samwel Sita ni za kweli?

bakuza

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
490
100

"Aliyekuwa spika wa bunge ambae alimaliza muda wake Bwana Samwel Sita na ambae anajinadi kupambana na ufisadi nae inasadikika ni mmoja wa mafisadi ambao walipopata nafasi hawakusita kukwapua mlungula katika kandarasi mbalimbali.

Alipokuwa waziri wa Mawasiliano na Ujenzi katika serikali ya awamu ya kwanza alihusika na ulaji rushwa katika kandarasi mbalimbali za ujenzi
Mojawapo ni ujenzi wa barabara ya Morogoro - Dodoma. Huyu bwana aliafukuzwa uwaziri na Mwalimu Nyerere baada ya kuchukua rushwa ya Ma-trector ambayo yalikuwa na harrow, planter na combined harvester kutoka kampuni ya ujenzi ya Brazil ambayo ilipewa kandarasi ya kujenga barabara hiyo. Tujuzeni wenye habari zaidi ktk hili.
 
inaonekana hata wewe mtoa mada huna uhakika,kwasababu huwezi leta habari ambayo hata wewe unataka tena upate habari zaidi kutoka kwa wengine

mimi nilidhani ulivyo ileta habari hii ulikuwa na ushahidi tosha ama ulikuwa na maelezo tosha pasipo kuhitaji tena maelezo kutoka kwa wengine

unavyo wanyooshea wenzako vidole angalia na vidole vingine vinaelekea wapi
 
Wewe mafisadi unawajua, leo Sitta katoka wapi na hiyo barabara iliyojengwa na waBrazil toka 1982 ni kweli alikuwa CDA na akaenda uwekezaji kabla ya Naiko lakini si fisadi kama wakina Richmond
lete habari zenye uhakika tuchangia, Samweli keshasema hagombei
 

"Aliyekuwa spika wa bunge ambae alimaliza muda wake Bwana Samwel Sita na ambae anajinadi kupambana na ufisadi nae inasadikika ni mmoja wa mafisadi ambao walipopata nafasi hawakusita kukwapua mlungula katika kandarasi mbalimbali.

Alipokuwa waziri wa Mawasiliano na Ujenzi katika serikali ya awamu ya kwanza alihusika na ulaji rushwa katika kandarasi mbalimbali za ujenzi
Mojawapo ni ujenzi wa barabara ya Morogoro - Dodoma. Huyu bwana aliafukuzwa uwaziri na Mwalimu Nyerere baada ya kuchukua rushwa ya Ma-trector ambayo yalikuwa na harrow, planter na combined harvester kutoka kampuni ya ujenzi ya Brazil ambayo ilipewa kandarasi ya kujenga barabara hiyo. Tujuzeni wenye habari zaidi ktk hili.

bakuza jipange urudi tena
 
[FONT="]
"Aliyekuwa spika wa bunge ambae alimaliza muda wake Bwana Samwel Sita na ambae anajinadi kupambana na ufisadi nae inasadikika ni mmoja wa mafisadi ambao walipopata nafasi hawakusita kukwapua mlungula katika kandarasi mbalimbali.

Alipokuwa waziri wa Mawasiliano na Ujenzi katika serikali ya awamu ya kwanza alihusika na ulaji rushwa katika kandarasi mbalimbali za ujenzi
Mojawapo ni ujenzi wa barabara ya Morogoro - Dodoma. Huyu bwana aliafukuzwa uwaziri na Mwalimu Nyerere baada ya kuchukua rushwa ya Ma-trector ambayo yalikuwa na harrow, planter na combined harvester kutoka kampuni ya ujenzi ya Brazil ambayo ilipewa kandarasi ya kujenga barabara hiyo. Tujuzeni wenye habari zaidi ktk hili.
[/FONT]

Ndo ugumu wa mambo ya rushwa yanapokuwaga hapo - mtuhumu km ww unasema - INASADIKIKA, unategemea Sitta ndio atoe huo USADIKIKA? Evidence huna.........
 
[FONT="]
"Aliyekuwa spika wa bunge ambae alimaliza muda wake Bwana Samwel Sita na ambae anajinadi kupambana na ufisadi nae inasadikika ni mmoja wa mafisadi ambao walipopata nafasi hawakusita kukwapua mlungula katika kandarasi mbalimbali.

Alipokuwa waziri wa Mawasiliano na Ujenzi katika serikali ya awamu ya kwanza alihusika na ulaji rushwa katika kandarasi mbalimbali za ujenzi
Mojawapo ni ujenzi wa barabara ya Morogoro - Dodoma. Huyu bwana aliafukuzwa uwaziri na Mwalimu Nyerere baada ya kuchukua rushwa ya Ma-trector ambayo yalikuwa na harrow, planter na combined harvester kutoka kampuni ya ujenzi ya Brazil ambayo ilipewa kandarasi ya kujenga barabara hiyo. Tujuzeni wenye habari zaidi ktk hili.
[/FONT]

Ndo ugumu wa mambo ya rushwa yanapokuwaga hapo - mtuhumu km ww unasema - INASADIKIKA, unategemea Sitta ndio atoe huo USADIKIKA? Evidence huna.........
 
Combine harvester na ujenzi wa barabara wapi na wapi? Ama umetumwa na wanaofahamu njaa yako,, au umeamua kujiajiri kwa kupika na kuuza majungu!
 
Bakuza anatumika bila kufahamu!!!sasa wewe nani kakutuma kuleteta hii mada!!!
 
inaonekana hata wewe mtoa mada huna uhakika,kwasababu huwezi leta habari ambayo hata wewe unataka tena upate habari zaidi kutoka kwa wengine

mimi nilidhani ulivyo ileta habari hii ulikuwa na ushahidi tosha ama ulikuwa na maelezo tosha pasipo kuhitaji tena maelezo kutoka kwa wengine

unavyo wanyooshea wenzako vidole angalia na vidole vingine vinaelekea wapi

Umeelewa hii thread wewe au ndo unakirupuka na kujifanya much know? Hii siyo habari mjomba bali ni mtu anayeomba mawazo ya watu wenye taarifa za zaidi kuliko yeye. Hili siyo kosa, ni tabia ya mtu anaetaka kujifunza ama kupata taarifa zaidi ili awe na uhakika wa jambo.
Usitake kujifanya much know kwa kujibu kila kitu (hata usivyovijua), kukaa kimya siyo ujinga.
Mnaboa sana wewe na wajinga wenzio mnaofanya watu washindwe kupata majibu ya maswali yanayowasumbua.
 

"Aliyekuwa spika wa bunge ambae alimaliza muda wake Bwana Samwel Sita na ambae anajinadi kupambana na ufisadi nae inasadikika ni mmoja wa mafisadi ambao walipopata nafasi hawakusita kukwapua mlungula katika kandarasi mbalimbali.

Alipokuwa waziri wa Mawasiliano na Ujenzi katika serikali ya awamu ya kwanza alihusika na ulaji rushwa katika kandarasi mbalimbali za ujenzi
Mojawapo ni ujenzi wa barabara ya Morogoro - Dodoma. Huyu bwana aliafukuzwa uwaziri na Mwalimu Nyerere baada ya kuchukua rushwa ya Ma-trector ambayo yalikuwa na harrow, planter na combined harvester kutoka kampuni ya ujenzi ya Brazil ambayo ilipewa kandarasi ya kujenga barabara hiyo. Tujuzeni wenye habari zaidi ktk hili.


Unatumika vibaya ndugu
Utachakaa mapema!
 
Umeelewa hii thread wewe au ndo unakirupuka na kujifanya much know? Hii siyo habari mjomba bali ni mtu anayeomba mawazo ya watu wenye taarifa za zaidi kuliko yeye. Hili siyo kosa, ni tabia ya mtu anaetaka kujifunza ama kupata taarifa zaidi ili awe na uhakika wa jambo.
Usitake kujifanya much know kwa kujibu kila kitu (hata usivyovijua), kukaa kimya siyo ujinga.
Mnaboa sana wewe na wajinga wenzio mnaofanya watu washindwe kupata majibu ya maswali yanayowasumbua.

usikubali kutumika kama karai ndugu yangu,unasumbuliwa na mambo ya 1982! Ya 2005 majibu yake tayari unayo?mbona munakuwa na akili za kushikiwa!!!
 
Ok, kwahiyo unakubali kuwa ni fisadi lakini halinganishwi na Richmond?!, haya basi tueleze huo ufisadi wake kiduchu tuuelewe kwani dhambi ni dhambi tu.
Wewe mafisadi unawajua, leo Sitta katoka wapi na hiyo barabara iliyojengwa na waBrazil toka 1982 ni kweli alikuwa CDA na akaenda uwekezaji kabla ya Naiko lakini si fisadi kama wakina Richmond
lete habari zenye uhakika tuchangia, Samweli keshasema hagombei
 
Great thinker unashindwa hata kuelewa mada?, unashindwa hata kuchangia mada?! Harafu unaishia kutukana?!, mtoa mada anataka mwenye counter info atoe wewe wamwaga offals, hakika umetumwa.
Unatumika vibaya ndugu
Utachakaa mapema!
 
Mkuu Watunduru, umechangia as if unafukuzwa na simba wa tunduru/selou?!,
usikubali kutumika kama karai ndugu yangu,unasumbuliwa na mambo ya 1982! Ya 2005 majibu yake tayari unayo?mbona munakuwa na akili za kushikiwa!!!
 
Unamhukumu mtoa mada kwa kosa gani?, ameleta mada ili mwenye data(+ve or -ve) azilete ili kuweka kumbukumbu sawa, wewe waleta habari ya kunyooosheana vidole?!, GT watia aibu but endelea na moyo wako wa kumtetea 6.
inaonekana hata wewe mtoa mada huna uhakika,kwasababu huwezi leta habari ambayo hata wewe unataka tena upate habari zaidi kutoka kwa wengine

mimi nilidhani ulivyo ileta habari hii ulikuwa na ushahidi tosha ama ulikuwa na maelezo tosha pasipo kuhitaji tena maelezo kutoka kwa wengine

unavyo wanyooshea wenzako vidole angalia na vidole vingine vinaelekea wapi
 
Back
Top Bottom