Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,791
Inakera machinga kuuza vitabu na spana saa nane usiku bar watu wamelewa chakari.
au airfreshner....hivi mlevi anaelewa harufu kweli
Inakera machinga kuuza vitabu na spana saa nane usiku bar watu wamelewa chakari.
NN kuna sehemu ulikereka na meno yaliyo na irregular alignment ulikereka in eng na kiswahili, kuchanganya sio majivuno bali ni misamiati tu, ss naona unakereka na kitu ambacho post za nyuma umekichanginyi..Wananikera sana watu wanaopenda kuchanganya lugha za Kiingereza na Kiswahili. Nashawishika kuamini kuwa watu wa aina hiyo hawawezi kuongea kwa ufasaha kwa kutumia moja ya lugha hizo na hivyo kulazimika kuzichanganya.
Inakera kuona mtu anakuita ita bila sababu maalum:angry::angry::angry:
au airfreshner....hivi mlevi anaelewa harufu kweli
Shoga si uvae tu nguo ni kama vile unahisi kiubaridi flani.
1. Utakuta mtu anatembea barabarani huku anavuta sigara hajali kuwa moshi wa hiyo sigara yake unakera watu
2. Mtu anatembea barabarani anatema mate au anapenga kamasi hovyo hovyo kila mahali bila ustaarabu
3. Mtu anakupa business card siku unamtafuta ukipiga namba za simu zilizoko kwenye card hapatikani
4. Hawa wamachinga wanaouza vitu wakitumia kispika saa zote kikisema 'dawa ya mende, mchwa, mba na mapunye inapatikana hapa' kinarudiarudia kwa kweli kinaleta kero
Na mengine mengi yenye kero katika jamii yetu, Hii inakera sana
nenda uarabuni uone
Watu wanaojichokonoa puani kutoa makamasi yaliyokauka. Unakuta mtu anajichokonoa mbele ya watu halafu wala hanawi mikono. Na hata kutumia tissue paper hawatumii. Ndiyo maana sipendi kusalimiana kwa kushikana mikono kwa sababu hujui hiyo mikono ya huyo mtu unayesalimiana naye ilikuwa wapi!!
na wanaoweka mikono kwenye mapu.. na kwenye ku..Watu wanaojichokonoa puani kutoa makamasi yaliyokauka. Unakuta mtu anajichokonoa mbele ya watu halafu wala hanawi mikono. Na hata kutumia tissue paper hawatumii. Ndiyo maana sipendi kusalimiana kwa kushikana mikono kwa sababu hujui hiyo mikono ya huyo mtu unayesalimiana naye ilikuwa wapi!!
na wanaoweka mikono kwenye mapu.. na kwenye ku..
Du!!!!na wanaoweka mikono kwenye mapu.. na kwenye ku..
...tabia ya kujamba kwenye hiace
aisee inakeraga sanaDuh! umenichekesha aisee....
Unakuta mtu anaachia ki "silencer".........anachafua kabisa hali ya hewa
... Halafu anajitia kuwa wa kwanza kuhamaki na kudai kuwa aliyefanya hivyo ameoza utumbo wakati yeye mwenyewe ndio kaoza utumbo!Duh! umenichekesha aisee....Unakuta mtu anaachia ki "silencer".........anachafua kabisa hali ya hewa