Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Unakuta umempakiza demu kwenye gari akishuka anasahau either kibanio cha nywele, hereni au kakitu kokote ili ili mradi azue tafrani.
Umeshasema amesahau . . . sasa siumkumbushe?
Alafu na wewe unapopakiza pakiza "mademu" unawapakiza wa kazi gani kama unajua hutakiwi kufanya hivyo?Usiwe hovyo na kupeleka lawama kwingine.
Lizzy mi naona kama wanafanyaga makusudi manake its very common. Kama jana kuna mmoja kaacha kibanio na kofia yake (barret) yaani utata mtupu.
Na nyie mnaowapakiza mnakua mnafanya nini?
Nyie na wao wote ni wale wale. .. mnawafanyia wenzenu mambo ambayo sio.Sasa either uwe muungwana na kumtendea mwenzio unayotaka kutendewa au uendelee bila kumlaumu huyo demu wako maana hamtofautiani.
Ni sawa Lizzy, ila lengo la kuacha hivyo vidubwasha nini ni?
Umeshasema amesahau . . . sasa siumkumbushe?
Alafu na wewe unapopakiza pakiza "mademu" unawapakiza wa kazi gani kama unajua hutakiwi kufanya hivyo?Usiwe hovyo na kupeleka lawama kwingine.
pole Nduka,siku nyingine gest atangulie na taxi,mkimaliza aondoke na taxi.Kama vipi rejea kwenye uzi wa The Boss.....nyumba ndogo for further guidelines.
Unakuta umempakiza demu kwenye gari akishuka anasahau either kibanio cha nywele, hereni au kakitu kokote ili ili mradi azue tafrani.
Kinakuwa kimedondoka kwa kutokujua yeye
Kwani unapakiza wangapi kwa siku? na kama ni huyo huyo mmoja si mwanamke alotimia,hajui kama akikuharibia nyumba wewe na yeye pia hakai?Unakuta umempakiza demu kwenye gari akishuka anasahau either kibanio cha nywele, hereni au kakitu kokote ili ili mradi azue tafrani.
Mbona hamsaaugi guest ila kwenye gari tu.
Pole sana ,Unakuta umempakiza demu kwenye gari akishuka anasahau either kibanio cha nywele, hereni au kakitu kokote ili ili mradi azue tafrani.
inabidi uweke utaratibu sasa kila anaeshuka kabla hujamruhusu kuondoka mwambie asubiri kwanza ukague gari lako....Unakuta umempakiza demu kwenye gari akishuka anasahau either kibanio cha nywele, hereni au kakitu kokote ili ili mradi azue tafrani.
Umeshasema amesahau . . . sasa siumkumbushe?
Alafu na wewe unapopakiza pakiza "mademu" unawapakiza wa kazi gani kama unajua hutakiwi kufanya hivyo?Usiwe hovyo na kupeleka lawama kwingine.
Wako wengi wa hivyo siku hizi, tena ukimleta home, ndo asubuhi akioga anaanika na kuacha chupi yake .