s.fm
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 663
- 117
Habari za weekend wana JF
Kuna hili suala la sitaki nataka hasa kwa wanawake..yani mtu unaweza kujikuta unatongoza karibu mwaka mzima mtu hata haeleweki.
Sasa nashindwa kuelewa sijui ndio fashen ama vp..unakutana na mrembo unamueleza shida yako halafu mkikutana siku nyingine anataka uanze upya tena eti amesahau.
Ukimuita kila sehemu anakuja akifika ooh nilikua napita tu..vingine ukimueleza anakubali then baada ya muda anakataa.
Simu nazo ukipiga mara piga baadae,ukituma sms ndio kwanza anajibu kesho..cha ajabu ukisema umkaukie atakutafuta halafu utasikia "ndio umeamua kunichunia,i miss you"
mbona mnatuchanganya..!
Kuna hili suala la sitaki nataka hasa kwa wanawake..yani mtu unaweza kujikuta unatongoza karibu mwaka mzima mtu hata haeleweki.
Sasa nashindwa kuelewa sijui ndio fashen ama vp..unakutana na mrembo unamueleza shida yako halafu mkikutana siku nyingine anataka uanze upya tena eti amesahau.
Ukimuita kila sehemu anakuja akifika ooh nilikua napita tu..vingine ukimueleza anakubali then baada ya muda anakataa.
Simu nazo ukipiga mara piga baadae,ukituma sms ndio kwanza anajibu kesho..cha ajabu ukisema umkaukie atakutafuta halafu utasikia "ndio umeamua kunichunia,i miss you"
mbona mnatuchanganya..!