Hizi sherehe X-Mass Tanzania...?

Rev, nimeona leo asubuhi maadhimisha ya Ashura huko Middle East, walikuwa CNN. Sikuamini nilichokiona. Umati mkubwa wa watu wamevalia nyeupe(wakapendeza sana) lakini wengi wana mapanga makali. Wanafika nadhani ni kama matabahu hapo, wanakatana mapanga, damu inachurizika kama mifereji mingi ya maji! Upande wa pili niliona Ambulence ikiwa inasubiri watakaoishiwa nguvu watibiwe. Ila mtangazaji alisema baadae kuna ambao kuliko damu yao imwagike bure basi huenda kwenye ambulence na kufanya donation. Makubwa! Ukweli hatuwezi kupamba Krismasi yetu na Damu!!!!!

Hahahaha wana mambo sana hawa wenzetu! Ila cha muhimu tuvumiliane ndugu
 
mkuu mimi mwenyewe nilikuwa na mawazo kama yako, nikafanya uamuzi: nikabadili dini, nakula kitimoto na krismas nasherehekea kwa saaana,jichanganye tu
 
huyu wana ajue hata ughaibuni kila kona ukienda ni mauwa na redio hata tv wanapiga nyimbo za xmass manake anazaliwa mtu mkubwa sana someni ISAYA 9:6 FOR THERE HAS BEEN A CHILD BORN TO US, THERE HAS BEEN A SON GIVEN TO US, AND THE PRINCELY RULE WILL COME TO BE UPON HIS SHOULDER AND HIS NAME WILL BE CALLED WONDERFUL COUNSELOR, MIGHTY GOD( hapo mjue YESU NI MUNGU), ETERNAL FATHER, PRINCE OF PEACE. sasa yawauma nini kwani hawajui kuwa ni sherehe ilokuepo karne na karne? nao wakiamua wapambe watafute na rangi rasmi,nyimbo pia ziwepo sio waishie kubisha tu au kukataa mfano meiga ya seminari lakini bado hawajafanikiwa kwani wameshindwa kujua nn maana ya seminari si kutoa elimu peke yake bali ni kitalu cha kulelea miito ya kanisa sio kutoa tu elimu ili mradi.Mtakaa Yesu hakuzaliwa au si Mungu wakati maanadiko yako wazi kama kawaida yao wkt sisi hatukatai ya kwao.Hebu tuacheni tuselebuke na kuzaliwa kwa Yesu au Emmanuel manake MUngu yu nasi.
 

Ili swali limewahi kujadiliwa mara kwa mara, angalia majibu kutoka kwa Wakristo wa JF:
wengine hawajui kabisa kwamba ni sikukuu ya kizushi! kama vile walivyo zua kuonyesha maiti kabla ya kuzika, kujenga makaburi
kwa zege
 
huyu wana ajue hata ughaibuni kila kona ukienda ni mauwa na redio hata tv wanapiga nyimbo za xmass manake anazaliwa mtu mkubwa sana someni ISAYA 9:6 FOR THERE HAS BEEN A CHILD BORN TO US, THERE HAS BEEN A SON GIVEN TO US, AND THE PRINCELY RULE WILL COME TO BE UPON HIS SHOULDER AND HIS NAME WILL BE CALLED WONDERFUL COUNSELOR, MIGHTY GOD( hapo mjue YESU NI MUNGU), ETERNAL FATHER, PRINCE OF PEACE. sasa yawauma nini kwani hawajui kuwa ni sherehe ilokuepo karne na karne? nao wakiamua wapambe watafute na rangi rasmi,nyimbo pia ziwepo sio waishie kubisha tu au kukataa mfano meiga ya seminari lakini bado hawajafanikiwa kwani wameshindwa kujua nn maana ya seminari si kutoa elimu peke yake bali ni kitalu cha kulelea miito ya kanisa sio kutoa tu elimu ili mradi.Mtakaa Yesu hakuzaliwa au si Mungu wakati maanadiko yako wazi kama kawaida yao wkt sisi hatukatai ya kwao.Hebu tuacheni tuselebuke na kuzaliwa kwa Yesu au Emmanuel manake MUngu yu nasi.
Eeh! Mbona havina hata uhusiano...! Mungu anatabiriwa kuzaliwa!?
 
Hizi sherehe X-Mass Tanzania ni nchi ya kikristo?
Mara nyingi huwa jambo hili linanishangaza sikukuu za kidini hasa za kikristo utakuta ofis za serikal(wizara,shule even hospitals)kupamba maua na wakati mwengine na kwaya zinapigwa.Na hiyo inayoitwa television ya taifa(TBS1)inaadhimisha krismas wiki mbili kabla na baada na inabadili mfumo wa vipindi vyake na kuwa wa KIKRISMASKRISMAS!Sijasema Krismas isisherehekewe kitaifa lkn pawepo na usawa baina ya Dini zote.

Haina tija kujadili...tuendako inabidi Mods wabuni namna ya kupima ufahamu wa watu kabla hawajaingia jamvini!
 
Hivi kwanini watu mankuwa na roho ya hivi? Kwani Eid hampewi 'Off' ....Nenda Zako!
Xmas is a Global Holiday!
 
unge sema unaona dini zingine zipewe nafasi kufanya nini ningekuelewa i.e. utaje utakacho kuona

kwa nvhi nyingi duniani x-mas ni kipindi cha kuwa pamoja na familia yako, na hapo tz nadhani unaona hii.

kwa mfano dini zingine zaweza fannya hivi pia, ila hata wasio na dini utakuta x-mas ni kipindi cha kusherekea kupeana zawadi, kuchumbiana etc
 
Mara nyingi huwa jambo hili linanishangaza sikukuu za kidini hasa za kikristo utakuta ofis za serikal(wizara,shule even hospitals)kupamba maua na wakati mwengine na kwaya zinapigwa.Na hiyo inayoitwa television ya taifa(TBS1)inaadhimisha krismas wiki mbili kabla na baada na inabadili mfumo wa vipindi vyake na kuwa wa KIKRISMASKRISMAS!Sijasema Krismas isisherehekewe kitaifa lkn pawepo na usawa baina ya Dini zote.

Mbona iddi huwa ni The same TBC sema Christamas ni kawaida kusherekewa hata mwezi kabla!sema umebase upande m1 umefungia macho pande nyingine.Kuhusu ofisini bana hii nchi ni huru sirikari haikukatazi kuweka kwaya oficini.Kwa hiyo ciwezi kuwa mimi mkristo afu cku ya Iddi nivae kanzu na kibaraghashia ila kutengeneza equality.kwa waislamu nao ofisini at respective days hufanya mambo kama haya.UDIN c tpc hata ya kuongelea on ma side sababu side efx zake not good
 
mie mtizamo wangu ni tofauti kidogo, christmass inakuwa na mguso tofauti na sikukuu za kiislamu kwa sababu sikukuu za kiislamu the are not predicatble, mwaka huu mwaweza sherehekea mwezi wa tatu next time ikawa february au april sasa hiyo inapunguza mashamushamu, kingine ni ile kusubiri kuandama kwa mwezi, ktk zama hizi za science na technologia kusubiri mwezi inakwaza kidogo. Kimsingi mambo hayo yanafanya kristmass iwe na mashiko kuliko sikukuu nyingine
 
WE LALA TU HUJUI DUNIA NOW INAELEKEA NEXT LEVEL!!


The money tree – The most expensive Christmas tree ever in history can be found at the Emirates Palace hotel in Abu Dhabi.

It stands 13 meters high in glorious hotel It is estimated to cost roughly about $11 million and which makes it the most expensive Christmas tree ever.
This Christmas tree itself is fake but the jewels that adorn it are not. This money tree is embellished with jewelries, silver and gold color balls and sparkling white lights.
There are more than 180 items of jewelry such as emeralds, diamonds, pearls and rubies. The owner of Khali Khouri, owner of Style Gallery dressed the mostly with a combination of earrings, necklaces, bracelets and rings. The most valuable item in the tree is a diamond that cost about 3.5 million dirhams or $1 million, which make it the most expensive Christmas tree ever in history.
According to the General Manager of The Emirates Palace hotel in Abu Dhabi, they will soon make a bid for the Guiness Book Of World Records.
 
Christmass is more tha just a religious celebration, it is a culture celebration of end of the year, hata China, ambako hawaamini kabisa mungu wanasherekea na kupamba majengo yao kwa maua Nk, pia hupiga nyimbo za chrismass sana, sasa kama mmeshindwa kui-globolize Idd siyo tataizo la wakristu.... Tutake tusitake hata saudi arabia wanasherekea Chrismass, na hii ni ili lile andiko litimie "kila ndimi itasifu jina lake"
 
Wenzetu wanaonekana na akili finyu sana ya kuelewa mambo, NO wonder, tulipowaachia nchi waliturudishia nchi ikiwa fukara mpaka tulipo anza kuunda mipangilio mipya ya kisiasa na uchumi 1986+

Tunachozungumzia hapa ni kutumia pesa za walipa kodi kupambia XMAS, kuna uhalali gani wakti sikukuu za dini nyingine hazitumii pesa za walipa kodi ?

Hakuna mtu anawzuwia kusherehekea xmass ambayo malengo yenyewe ya xmas yanbadilika kila wakati bila kuelewa maana halisi ya xmas, bali tunataka kujuwa kwa nini mpendelewe kupewa pesa na hazini kwa shrehee hizi za kuzaliwa Yesu?
 
Wenzetu wanaonekana na akili finyu sana ya kuelewa mambo, NO wonder, tulipowaachia nchi waliturudishia nchi ikiwa fukara mpaka tulipo anza kuunda mipangilio mipya ya kisiasa na uchumi 1986+

Tunachozungumzia hapa ni kutumia pesa za walipa kodi kupambia XMAS, kuna uhalali gani wakti sikukuu za dini nyingine hazitumii pesa za walipa kodi ?

Hakuna mtu anawzuwia kusherehekea xmass ambayo malengo yenyewe ya xmas yanbadilika kila wakati bila kuelewa maana halisi ya xmas, bali tunataka kujuwa kwa nini mpendelewe kupewa pesa na hazini kwa shrehee hizi za kuzaliwa Yesu?

Kama hizo pesa za walipa kodi zinakuuma basi na nyie ombeni hizo pesa za walipa kodi kwenye sherehe zenu ili mpambe! anyway haka tu ni kautamaduni si kwamba ofisi zikipambwa ndo na sie waisilamu tumesilimishwa ukristo! Pia mapambo ya krismas hata nchi za kiislam ukipita kipindi hiki utakuta hayo mapambo yapo! isikuume sana kaka hii ni kuonyesha kwamba krismas inakubalika kwa watu wa dini zote na ni sherehe ya kidunia wala si ya kinchi kama unavyofikiria,
 
Wenzetu wanaonekana na akili finyu sana ya kuelewa mambo, NO wonder, tulipowaachia nchi waliturudishia nchi ikiwa fukara mpaka tulipo anza kuunda mipangilio mipya ya kisiasa na uchumi 1986+

Tunachozungumzia hapa ni kutumia pesa za walipa kodi kupambia XMAS, kuna uhalali gani wakti sikukuu za dini nyingine hazitumii pesa za walipa kodi ?

Hakuna mtu anawzuwia kusherehekea xmass ambayo malengo yenyewe ya xmas yanbadilika kila wakati bila kuelewa maana halisi ya xmas, bali tunataka kujuwa kwa nini mpendelewe kupewa pesa na hazini kwa shrehee hizi za kuzaliwa Yesu?

Hapo kwenye hiyo nyekundu ndo pameniacha hoi, hivi jamani mapambo nayo yanaweza kuhesabiwa yanatumia pesa ya walipa kodi kweli? kwa hali ya kawaida ni pesa ndogo sana!
 
Back
Top Bottom