birungi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 391
- 16
nani kawakataza kupiga kaswida kwenye sikukuu zenu za dini,pia kama mna mapambo yenu mpambe tu,mbona wahindu mitaa ya zanaki na kisutu pale huwa wanapamba ofisi zao au nyumba zao kwenye sikukuu zao??
mkifanya hivyo hata sisi tutawasapot maana nanyi huwa mnatusapoti kupamba mikrismass tree na kusherehekea.
mkifanya hivyo hata sisi tutawasapot maana nanyi huwa mnatusapoti kupamba mikrismass tree na kusherehekea.