Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Tuache visingizio,mwanaume kama ni malaya atakuwa ni malaya tu na wala haitaji kufanyiwa manjonjo saluni ili afanye ufuska.umalaya ni attitude of mind na wala tusisingizie saluni,mara oh wasichana wanashika masikio etc,mbona nesi hospital akikushika nanihi huwazii ngono? Tuache visingizio ngono ni suala la uamuzi wa mtu na halihitaji visingizio,period! Achezi mabinti za watu wapate riziki,afterall ajira zenyewe ziko wapi?