Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Jamani kuna hizi salamu mimi naweza ziita za kileo, mimi ni man, sasa utakuta demu ambaye mnafahamiana tu au mnafanya kazi ofisi moja na wala si wapenzi, anakuja anakusalimia kwa kukukumbatia kwa mbanano kabisa na kukubusu shavuni, kwa kweli mimi sizipendi kwani huwa zinaniacha na mfadhaiko mkubwa. Hebu fikiria demu anakukumbatia halafu chuchu zake zinakugusa na kukuletea msisimuko kiasi ambacho suruali na boxer inakuwa hazitoshi inabidi ukae ili hali ya hewa itulie.
Hivi karibuni kuna demu ofisini kwetu katoka maternity leave na chuchu zipo mwake maana zimejaa chakula ya mtoto, sasa si kaja kanivamia na kunikumbatia kwa mbanano na busu pia eti alinimisi, kwa kweli nilisisimuka nikaenda ofisini kwangu nikakaa kutuliza mzuka. Na tu nguo/blauzi twao siku hizi tulaini.
Hivi karibuni kuna demu ofisini kwetu katoka maternity leave na chuchu zipo mwake maana zimejaa chakula ya mtoto, sasa si kaja kanivamia na kunikumbatia kwa mbanano na busu pia eti alinimisi, kwa kweli nilisisimuka nikaenda ofisini kwangu nikakaa kutuliza mzuka. Na tu nguo/blauzi twao siku hizi tulaini.