Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Wana JF,
hakika iddi imepita salama. Naanza muongo mpya kwa kujiuliza ni namna gani wahitimu wa shahada za juu ktk chuo cha SUA wanaorodhesaha shahada zao katika CV. Masters prog nyingi zinachukua miaka miwili lakini wanaomaliza shahada hizi kwa muda muafaka ni chini ya 10%, walibaki huendelea kuchekecha hadi miaka 4, sasa naomba kuuuliza ni namna gani shahada hizi zitaandikwa kwenye CV ?.
hakika iddi imepita salama. Naanza muongo mpya kwa kujiuliza ni namna gani wahitimu wa shahada za juu ktk chuo cha SUA wanaorodhesaha shahada zao katika CV. Masters prog nyingi zinachukua miaka miwili lakini wanaomaliza shahada hizi kwa muda muafaka ni chini ya 10%, walibaki huendelea kuchekecha hadi miaka 4, sasa naomba kuuuliza ni namna gani shahada hizi zitaandikwa kwenye CV ?.