Hizi Picha zinamaanisha nn?

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,831
View attachment 52939



images




View attachment 52938
 
Hizi picha maana yake FANYA KAZI KWA BIDII, USIPOTEZE MUDA KUFUATILIA MAMBO YA KIJINGA.
 
watu wanadanganyika sana,mungu akasema,,,,,,watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,,,,mambo haya yanakuzwa na wajinga ndio waliwao,,,,,ooh freemason,wapo dar,,ar,mwz,,,oooh uliya ,,,amerika,,,,upuuzi mtupu,,,nenda huko kote hutawaona zaidi ya tetesi ,,,mtu akiwa na mafanikio ,,ataitwa freemason,,,,,fisadi nk,,,wivu wa masikini ni mbaya sana,,,,,,ni kukosa maarifa,,,yapo hata magazeti ya dini za kizuahili ni mashabiki wa upuuzi huu wa kuwalisha watu matango mwitu,,,,,,kaazi kwelikweli////////:yo:
 
watu wanadanganyika sana,mungu akasema,,,,,,watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,,,,mambo haya yanakuzwa na wajinga ndio waliwao,,,,,ooh freemason,wapo dar,,ar,mwz,,,oooh uliya ,,,amerika,,,,upuuzi mtupu,,,nenda huko kote hutawaona zaidi ya tetesi ,,,mtu akiwa na mafanikio ,,ataitwa freemason,,,,,fisadi nk,,,wivu wa masikini ni mbaya sana,,,,,,ni kukosa maarifa,,,yapo hata magazeti ya dini za kizuahili ni mashabiki wa upuuzi huu wa kuwalisha watu matango mwitu,,,,,,kaazi kwelikweli////////:yo:

NDO UTASIKIA WAKINGA WANAJENGA MAGOLOFA KARIAKOO WACHAWI mala wameua ndugu zao ni ujinga mtupu!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom