Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,263
Katika izi zawadi hakuna biya?
Me mlokole Grade A+ Gambe,hapana.
Katika izi zawadi hakuna biya?
hongera ya machon lkn rohon ninawalakin au ni jina tu lkn we ni miss?
Me mlokole Grade A+ Gambe,hapana.
Usharudi kutoka Morogoro kwenye maombi ya kufunga na upako?
mimi nataka zawadi kubwa kuliko zote. mia
Shost hata wewe una wasiwasi na mimi tena?
Me ni 'pure' Miss.
Madame B mi nilidhani ungeleta kitu kikali zaidi yangu, watuletea pafyuumu, sijui lotion...loooh....umeniangusha shostito.
we c umefanyiwa kitchen paty juzi na post bado ipo sa huo u miss unaotoa wapi tena yakheee! na wanaume cku hizi hawataki kutuoa kama hauna kitu ku tumbo.shogaangu apo ahhh ata...
Madame B naomba ujipige pige kidogo unipe zawadi mojawapo kati ya hizi hand bags nitashukuru sana
View attachment 68938View attachment 68939View attachment 68942View attachment 68937
Madame B naomba ujipige pige kidogo unipe zawadi mojawapo kati ya hizi hand bags nitashukuru sana
View attachment 68938View attachment 68939View attachment 68942View attachment 68937
Umenikumbusha kuna pochi moja nimeliona kwenye pitapita zangu..........weeee!!
Bahati mbaya mie kilaza kwenye mambo ya kupost picha na video,
Ningekuwekea ukaliona!
Jinsi navyougua na mavitu ya kutupia kama haya
Itabidi ufanye namna kipipi angalau nione tu
Miss mwenzangu ulienitangulia,
Nitakuletea ya Peke yako.
Ila nawe umekosea,ungenambia zawadi gani niwape Mashabiki zangu.