Inaelekea hajui hata utafiti unafanyikaje msamehe bure maana angejua kuwaa hao ni wanafunzi wa chuo cha wahudumu wa ndege. Mbaya zaidi mleta mada hajawahi hata kupanda ndege za ATC hivyo hajaona wanavaaje kakurupuka kama MwakyembeHii taarifa iko hapa muda mrefu mbona, mleta mada jaribu kufanya utafiti kidogo utagundua.
Haya ACP MsangiInaelekea hajui hata utafiti unafanyikaje msamehe bure maana angejua kuwaa hao ni wanafunzi wa chuo cha wahudumu wa ndege. Mbaya zaidi mleta mada hajawahi hata kupanda ndege za ATC hivyo hajaona wanavaaje kakurupuka kama Mwakyembe