la Jeneral
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 392
- 57
laiti kama wangejuwa maisha ya ndoa yapoje wala hayo masherehe yasingekuwa makubwa ivyo,,,,chezeya ndoa ndoano wewe?
Mbona tulisha maliza hiyo kitu siku nyingi!!rejao akufanyii tena harusi?
ndo ivo bwana sina ndoa.sasa unanisaidiaje?
mume si mume au ? Cv ya nini?ainisha c.v unazohitaji mume umtakae awenazo.
Anika faster tukunyoshee mambo, najua hazitokua complicated kama za "sifuri 3"
hahhah... gauni ya harusi sinunui hata kwa kiboko!
Halafu baadhi ya gharama mwanaume anajitakia mwenyewe - kuwatoa mashemeji wakajinafasi - anatafta sifa za kijinga mwenyewe.
Malazi na chakula kwa wageni na wakwe mbona kamati inatenga fungu kutoka kwenye michango.
Mi ningeshauri, wahusika wenyewe waamue aina ya sherehe wanayoitaka na kuweka kiwango chini.Tatizo waoaji wanatafuta mashindano wenyewe kwa wenyewe.
izo ni gharama za harusi sio ndoa bwana
mwenye shida ya ndoa anione mimi nahamia hivohivo bila harusi
sina makuu mie
izo ni gharama za harusi sio ndoa bwana
mwenye shida ya ndoa anione mimi nahamia hivohivo bila harusi
sina makuu mie
mume si mume au ? Cv ya nini?
kwani wewe hujui jema na baya?unaelewa vizuri unachoulizwa!
Haya kama mume ni mume , naanza makeke ila staki uje unilalamikie ooh cha'pii, sijui anahesabu finyango! Ooh hata nikiwa nasa ye anataka tu!
KWA NINI WANAUME WENGI SIKU HIZI WANAKWEPA KUOA
KAAZI KWELI KWELI!
Sasa nini kifanyike kama hizo ndizo sababu?
.......ukiuliza unaambiwa gharama za maisha ziko juu!
Mi narudi kwetu machame dada zangu watatu wameolewa nguo kitch,send na harusi nakumbuka mama yangu (RIP) ndio aligharamia kwa jinsi alivyo kuwa anawapenda mabinti zake alisema nayeye awavalishe for the last time,,,,hata mahari awakulipiwa kubwa wala vikorokoro avikuwa vingi so mashemeji zangu awakukamuliwasana ndio maana kila wajapo home wanaleta minofu ya kuku,,,,we unaenda kuowa sehemu bado wanaishi nyumba ya tope huko bwinde kudadeki lazima wakukamue hadi yatatoka maji,.......kwa mtaji uhu narudi kwetu ilyo 14m kile kiwanja nitakachopewa zawadi na mshua nitaanza msingi wa nyumba
mnh ka dizaini hii ni UKAPERA tu hadi mwisho
hapa lazima utakuunampima bwana wako kama nibahili au sio..
vp kuna waliobaki mkuu nije jibebea mmoja? natamani sana kulala usingizi wa mang'amung'amu mie!