Hizi ndizo faida za wawekezaji

idumu

Member
Jun 5, 2009
44
1
Nani anapicha za watu walioathirika na maji machafu ya mgodin, Jana CH 10 walionyesha, TUNAZIOMBA TUZIPELEKE HAKI ZA BINDAMU HAWA WAZUNGU WAUAJI KABISA.

Haiwezekani, Mwanasheria Tindu Lisu alisema, Anaomba msaada kutoka kwa wananchi kuunga mkono yale yanaendelea huko, Pia Rais wetu mstaa alipokea DHAHABU KUBWA SANA HUKO GEITA miaka ya nyuma na alikana, Jana ch 10 wameitoa hiyo baada ya mtu mmoja kupiga simu toka ZNZ na kudai yeye ni shahadi na aliwahi kufanya kazi mgodini GEITA. Watz wa TARIME MKO WAPI// Ng zetu wanakufa. Tunamkumbuka sana CHACHA WANGWE.
 
wale wazee walisema madiwani tu ndio wanahangaika nao,mbunge aliyechaguliwa juzi tu kawaacha na serikali haiwajali.

Lissu alisema amechoka kupongezwa anataka tuumunge mkono alisema twende tukalale barabarani kwenye barabara inayoenda mgodini na mimi naamuunga mkono jamani twendeni hawa wazungu wamefikia pabaya wanaua ndugu zetu hivi hivi labda tukawashitaki kwenye mahakama ya kimataaifa the Hague kwani hapa hakuna haki Lisu alisema waliishitaki kampuni lakini hawakupewa haki
 
Leo(25/6/2009) Pinda akijibu masawali ya papo kwa papo amekiri kuona picha hizo jana kwenye TV na akasema kuwa zimemstua,akaongeza kuwa atamtuma Marsha kwenda kutazama hali.
Sijui kama utendaji wa Serikali hii ni vipi,yahani mpaka TV zitangaze na kuonesha watu walivyiochubuka ndiyo action inafanywa.

Ni bora viongozi wa Seikali walipo Mara wawajibishwe kwa kushindwa kutoa taarifa hiyo Serikalini.
 
Masha aende kufanya nini? Huyu si alikuwa wakili wa kampuni zinazochimba madini? Unadhani atawakoromea waliomwekea hela mfukoni?
 
Changa la macho, wanajua kinachoendelea huko Tarime dawa ni moja tu tukalale barabarani mgodi ufugwe basi! eti alishtushwa na alichokiona! serikali gani hii wawakilishi wapo kwenye payroll ya kampuni?
 
Nani anapicha za watu walioathirika na maji machafu ya mgodin, Jana CH 10 walionyesha, TUNAZIOMBA TUZIPELEKE HAKI ZA BINDAMU HAWA WAZUNGU WAUAJI KABISA.

Haiwezekani, Mwanasheria Tindu Lisu alisema, Anaomba msaada kutoka kwa wananchi kuunga mkono yale yanaendelea huko, Pia Rais wetu mstaa alipokea DHAHABU KUBWA SANA HUKO GEITA miaka ya nyuma na alikana, Jana ch 10 wameitoa hiyo baada ya mtu mmoja kupiga simu toka ZNZ na kudai yeye ni shahadi na aliwahi kufanya kazi mgodini GEITA. Watz wa TARIME MKO WAPI// Ng zetu wanakufa. Tunamkumbuka sana CHACHA WANGWE.
kuna wazee wanaonekana wameungua ngozi kama vile wameungua na moto inasikitisha sana. kanisa limelipia watu wawili waende dar ili kupata matibabu.

Waziri Mkuu ametoa tamko bungeni kuwa serikali itafuatilia kwa karibu 'kidogo' japo mwazo walikuwa wakifuatilia, sasa cha kujiuliza kama isingeulizwa bungeni SERIKALI INGETOA TAMKO? au ndio funika kombe mwanaharamu apite! :(
 
Bahati mbaya hawa wakurya wako mbali na Somalia vinginevyo zile AK47 zinazouzwa mitaani kama sigareti walitakiwa wazipate. Ila tatizo nikuwa wakishamalizana na hawa wezi wataanza kuzitumia kuibiana ng'ombe.
 
Leo(25/6/2009) Pinda akijibu masawali ya papo kwa papo amekiri kuona picha hizo jana kwenye TV na akasema kuwa zimemstua,akaongeza kuwa atamtuma Marsha kwenda kutazama hali.
Sijui kama utendaji wa Serikali hii ni vipi,yahani mpaka TV zitangaze na kuonesha watu walivyiochubuka ndiyo action inafanywa.

Ni bora viongozi wa Seikali walipo Mara wawajibishwe kwa kushindwa kutoa taarifa hiyo Serikalini.

This is a joke, Marsha si alikuwepo kule juzijuzi hapa hakuliona hilo? Pia vyombo vya habari vilionesha mabwawa yakiwa yamechafuliwa serikali ilichukua hatua gani? Halafu anatumwa akaone then akiona, Govt need to act sio kwenda kuona ALA!!!!!!!!!!
 
Ukweli ni kwamba wazungu wanamwona Mwafrika kama nyani tu na wanaweza kumtendea chochote wapendacho. Kinachosikitisha ni kwamba hata Serikali yetu tukufu ambayo ndio ilitakiwa ilinde utu na thamani ya Mtanzania nayo ina mwono huo huo. Wananchi ni lazima wapambane si tu na hao wazungu wabaguzi wa rangi na mahaini wa utu wa binadamu, bali hakika zaidi na watu waliopewa wajibu wa kulinda heshima na utu wa Mtanzania.
Ni aibu nchi huru kama Tanzania leo wananchi wake kuunguzwa nchini mwao na serikali kulifumbia kinywa swala hili. Jambo hilo lisingetokea nchi yeyote hata kama ni maskini namna gani.
 
Kama siku mbili zilizopita kuna jamaa alitoa habari hii, kama kawaida serikali ikamjia juu. Kesho yake akasema source yake ni Mh. Diwani wa Kata hiyo husika. Taarifa ya habari ya siku inayofuata akasikika mkuu wa wilaya ya Tarime (nimemsahau jina) anakanusha kuwa hakukuwa na kitu kama hicho cha watu kufa ama kuathirika na mgodi huo. In fact akam challenge yule bwana diwani kama yeye ndiye authority ya kueleza kinachotokea. Tulikuwa tunasikiliza hiyo taarifa ya habari na mama yangu mzazi, she wept! Anasema yeye katika shughuli zao walitembelea mpaka huo mto na kuona watu walioathirika wakiwa kama vile wamebabuka. For the first time nikasikia anasema kama kweli wanabisha na hili, hawa watu hawana dini (I know her, she is a die hard CCM fanatic!)

Nilibaki na maswali mengi sana kichwani; hivi kweli watu kudhurika na madhara ya mgodi huu kunahitaji msemaji wa serikali? Hivi wakubwa ndio wamebweteka na kufikia huko? Jana nimeangalia hizo picha nikahuzunika kwa kweli. Kama asemavyo Lissu muda umefika wa actions na wala sio maneno.
 
Kama siku mbili zilizopita kuna jamaa alitoa habari hii, kama kawaida serikali ikamjia juu. Kesho yake akasema source yake ni Mh. Diwani wa Kata hiyo husika. Taarifa ya habari ya siku inayofuata akasikika mkuu wa wilaya ya Tarime (nimemsahau jina) anakanusha kuwa hakukuwa na kitu kama hicho cha watu kufa ama kuathirika na mgodi huo. In fact akam challenge yule bwana diwani kama yeye ndiye authority ya kueleza kinachotokea. Tulikuwa tunasikiliza hiyo taarifa ya habari na mama yangu mzazi, she wept! Anasema yeye katika shughuli zao walitembelea mpaka huo mto na kuona watu walioathirika wakiwa kama vile wamebabuka. For the first time nikasikia anasema kama kweli wanabisha na hili, hawa watu hawana dini (I know her, she is a die hard CCM fanatic!)

Nilibaki na maswali mengi sana kichwani; hivi kweli watu kudhurika na madhara ya mgodi huu kunahitaji msemaji wa serikali? Hivi wakubwa ndio wamebweteka na kufikia huko? Jana nimeangalia hizo picha nikahuzunika kwa kweli. Kama asemavyo Lissu muda umefika wa actions na wala sio maneno.

Mkuu huyo wa wilaya anaitwa Frank Uhahula.
Huyu ni mwnasisasa tu, hafai kuwa mkuu wa wilaya. Alichofanya ni kuleta siasa na uongouongo wakati watu wameathirika na hizo kemikali. Tatizo ni kubwa zaidi na linamgusa hata anayewateua hawa wakuu wa wilaya. Kwa nini anawateua watu wa ovyoovyo na baada ya kuidanganya serikali amechukuliwa hatua gani?
Leo nasikia eti wailoathirika ni wale waliokwenda kuiba magudulia ya sumu mgodini! Shame yaani na huyu mzee wa miaka 68 alienda kuiba? OK Je na hao ng'ombe 270 nao walienda kuiba mgodini? Shame CCM, Shame Serikali and lastly Shame kwa sote ambao tuliiweka CCM madarakani.
Ni wakati wa kufanya mabadiliko, tuwachague watu watakaojali maisha ya watu.
 
The human cost of gold: And a deadly price to pay

i459_nyamongo.JPG

A section of the River Tigethe ecosystem affected by allegedly contaminated water flowing from the nearby Barrick North Mara Gold Mine in Tarime District. Pictured Ms Otiego Mseti, one of the reportedly infected villagers

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

VILLAGERS living near a gold mine owned and run by Canada’s Barrick Gold Corp. in Tarime District, Mara Region are demanding the immediate closure of the project, saying they are paying a deadly price for the mining activities in the area.

Already, scores of people residing around Barrick’s North Mara Gold Mine are showing serious signs of exposure to pollution in the form of water contaminated with various chemicals allegedly flowing out of the mine and into the nearby River Tigethe.

The villagers accuse the mine management, under the Canadian investor company, of causing fatal health hazards to human beings, livestock, and land in Kebasula Ward in Tarime, where the mine is located.

They say more than 20 people have died in recent weeks as a direct result of the contaminated water.

’’We have no problem with investors. But the investors must respect and treat us like human beings. These Canadians are killing us...they are not doing business,’’ said Ms Esther Mugusuhi, one of a group of affected villagers interviewed by THISDAY in Dar es Salaam yesterday.

Ms Mugusuhi said the mining activities by Barrick Gold have incapacitated her and many others, in her case rendering her right hand dysfunctional.

’’I used to work productively in my farm, but I am now a dependent person...all because of the investors,’’ she asserted.

She called on the Canadian Government to intervene in the environmental nightmare by ensuring medical costs for all the victims of pollution in the area are footed.

Another villager, Mkwave Mwita, pointed an accusing finger at the Tanzanian (home) Government for valuing mining activities by foreign investors more than it values the welfare of its own citizens.

’’I think this is the only country on earth where stones (gold) are more valuable than human beings,’’ Mwita stated.

Like Ms Mugusuhi, he also said the Canadian Government is morally obliged to help those affected by the North Mara Gold Mine operations because ’’it is Canadians that are reaping more benefits from Tanzanian mineral resources than Tanzanians themselves.’’

Pictorial and other evidence from the area strongly indicate a real danger of more people residing around the mine area and using the River Tigethe waters for various household uses contracting serious diseases that have so far remained a puzzle to local medics, and could eventually even kill them.

The villagers described infections that start with increased body itching and frequent yawning, causing victims to scratch their bodies and end up with lacerations.

The chairman of Kebasula Ward’s CCM branch, Keremani Nyakiha, was part of the group interviewed, and said more than 20 people have so far died as a result of the infections within the past couple of months.

He said many more villagers in the area are bed-ridden and with little hope of recovering due to lack of appropriate medical attention, while there are reports that over 150 cattle have died of the ’disease.’

Despite his CCM posting in the ward, Nyakiha did not hesitate to blame the Government for ’’playing politics’’ with the lives of people over this matter.

’’This is not an issue of politics...it is about people’s lives,’’ he said, adding: ’’The situation in Kebasula is terrible - people are dying, cattle are dying, dogs are dying, everything is dying. Soon there will be no living organism in the area...not even toads.’’

He castigated district and regional government leaders of deliberately turning a blind eye to reports of villagers dying of the allegedly poisonous infection, and favouring the investors instead.

’’It is ridiculous and shameful for a whole Government leader to dismiss in public what is obvious to everybody. If the Government has nothing to do for its people, it had better just keep quiet,’’ Nyakiha asserted.

Asked to mention any benefits the surrounding village communities may be reaping from the mining project, he retorted: ’’Nothing...just dust and skin diseases.’’

The group of villagers are in Dar es Salaam on a mission to raise public awareness on their case, courtesy of the Norwegian Church Aid non-governmental organisation.

Independent medical experts consulted by THISDAY say the villagers could be suffering from cyanide poisoning as a result of expanded mining activity. It is understood that short-term exposure to high levels of cyanide harms the central nervous system, respiratory system, and cardiovascular system. Even very small concentrations of the toxic substance can kill humans, fish, birds, livestock and plant life.

However, when contacted for comment late yesterday, Barrick Tanzania spokesperson Teweli Teweli dismissed the allegations as baseless, saying Kebasula Ward ? situated about 30 kilometres from the mine ? is too far to be vulnerable to any seepage from the mine’s sewage pond.

He named villages surrounding the mine as Nyangoto, Kewanja, Genkuru, and Nyamongo.

’’Following the problem of water leakage on May 9 this year, we conducted a meeting with the surrounding communities and agreed that any anomaly to cattle or human beings should be reported to us...but we heard nothing until the ward councillor wrote to us about the deaths of 18 people,’’ Teweli told THISDAY.

He dismissed any chance of a ’’scientific’’ connection between the claimed deaths and Barrick North Mara Mine operations.

Teweli said initial remedial work to intercept and divert water from the mine from reaching waterways in the vicinity has been completed and ongoing remediation and monitoring continues.

’’Management and monitoring of this specific situation will remain a priority of the mine,’’ he added.

Meanwhile, Prime Minister Mizengo Pinda yesterday directed the Minister for Home Affairs, Lawrence Masha, to investigate the reported pollution at the Barrick North Mara Gold Mine.

The premier gave the directive when responding to a question from the Tarime Member of Parliament, Charles Mwera (CHADEMA), who wanted to know from the Government what is to be the fate of victims of the reported mine pollution.
 
i459_nyamongo.JPG

A section of the River Tigethe ecosystem affected by allegedly contaminated water flowing from the nearby Barrick North Mara Gold Mine in Tarime District. Pictured Ms Otiego Mseti, one of the reportedly infected villagers


Very sad!!!!!!!!!!
 
However, when contacted for comment late yesterday, Barrick Tanzania spokesperson Teweli Teweli dismissed the allegations as baseless, saying Kebasula Ward ? situated about 30 kilometres from the mine ? is too far to be vulnerable to any seepage from the mine’s sewage pond.

He named villages surrounding the mine as Nyangoto, Kewanja, Genkuru, and Nyamongo.

’’Following the problem of water leakage on May 9 this year, we conducted a meeting with the surrounding communities and agreed that any anomaly to cattle or human beings should be reported to us...but we heard nothing until the ward councillor wrote to us about the deaths of 18 people,’’ Teweli told THISDAY.

He dismissed any chance of a ’’scientific’’ connection between the claimed deaths and Barrick North Mara Mine operations.


Hii nime-copy kutoka kwenye Gov't website ya Australia.Msemaji wa Barrick anapotosha umma.

A hierarchy of groundwater flow systems of different size and depth can develop in a catchment depending on the combination of surface topography, geology and climate. There can be a combination of groundwater flow systems that are local, intermediate or regional in scale (Toth, 1963). Local flow systems are the shallowest and most dynamic, involving short flow paths (mostly < 5km) with groundwater discharging to the nearest lowland feature. In contrast, regional flow systems have the deepest and longest flow paths (typically exceeding 50km), with intermediate systems operating between these two end-members. Local flow systems tend to be dominant in areas of high topographic relief, while intermediate-regional systems are more evident in flat-lying areas. Groundwater exchange with surface water features are primarily governed by their location with respect to groundwater flow systems, the geological characteristics of their beds and climatic factors (Winter, 1999). River reaches can receive contributions of groundwater from flow systems of different scales and provenance .
 
Hivi mara ya mwisho mheshimiwa sana JK alitembelea lini mkoa wa Mara? Angeenda huko aone kwa macho yake badala kusubiri ripoti ya kwenye makaratasi
 
kuhusu msitaafu kupewa dhahabu kule geita mimi nilikuwepo miaka hiyo. tena alipewa dhahabu yenye mfano wa koleo a.k.a sepetu. tulikwenda jimboni kumwona baba askofu sisi waseminari na ziara ya msitaafu ikatukuta huko.
 
Mimi nina shida kidogo na hawa jamaa wanaojiita sijui ndio 'Msemaji wa Barrick" huyu bwana Teweli na huwa kuna mwingine sijui Mwanyika. Unajua hapa ndio penyewe pa kupima uzalendo wa mtu. Hivi kweli hawa jamaa wanakubaliana na matakwa ya mwajiri wao hata kama mwajiri anafanya uenda wazimu sababu tu ni "spokesman/woman"? Shame on you Teweli and your friends, Watanzania ambao mmeungana na maharamia sio tu kuwadhulumu Watanzania wenzenu mali asili zao, bali pia mmekubali kuwa mouth piece zao.
 
Back
Top Bottom