Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Kuna babu wa Mbeya, yuko maeneo ya Sae. Kuna babu wa Tarakea, Mpanda nako kaibuka babu kwenye pori la Katavi anagawa dawa kama babu wa Loliondo.
Je ni wapi taifa linakoelekea? Je tunasonga mbele kimaendeleo au tunarudi nyuma?
Sipondi tiba asili, naziheshimu na kzithamini sana. China tiba zao zote ni za asili, zimepimwa, zimetafitiwa na kuthibitishwa.
Msiahangae next week mkisikia Nazjaz yuko Tanga anatoa dawa baada ya kuoteshwa na Mtume Mohamed S. A. W
Je ni wapi taifa linakoelekea? Je tunasonga mbele kimaendeleo au tunarudi nyuma?
Sipondi tiba asili, naziheshimu na kzithamini sana. China tiba zao zote ni za asili, zimepimwa, zimetafitiwa na kuthibitishwa.
Msiahangae next week mkisikia Nazjaz yuko Tanga anatoa dawa baada ya kuoteshwa na Mtume Mohamed S. A. W