The Messenger
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,523
- 808
Wngine nimasingle...Sijui ndo tutakufaje yaaniDuh sasa wale ambao wenzi wao wako mbali inakuwaje?mana wengine wanaonana once per month/week...
Wngine nimasingle...Sijui ndo tutakufaje yaaniDuh sasa wale ambao wenzi wao wako mbali inakuwaje?mana wengine wanaonana once per month/week...
kupokea mshahara n pale anapokuw kwny siku zake(period)
Tafuta mke uoe mkuu.tulio single taabu tupu
Heshima yako mkuu.Duuu
Upo?Heshima yako mkuu.
Ukimaanisha kwamba?????
Hehehe vizuri....Mimi nilikuwa napenda sana kucheza mechi za kirafiki kwa week mara 2 lakini toka niwe na mkamwanao sasa hivi nimeacha mechi za kirafiki naangalia ligi tu kwa week ni mara 3 tu
Hehehe vizuri....
kumpata wa kuoa siyo rahisi hivo mkuu,acha mechi za utangulizi ziendelee kuhusikaTafuta mke uoe mkuu.
kupokea mshahara n pale anapokuw kwny siku zake(period)
Kwa mwanamke sio vzur kufanywa kila cku..
Too bad nshasemaNo reaserch no right to talk- jpm