kero hizo hazitaondoka kwa sbb zifuatazo./ 1.baadhi ya wafanyakazi ni wavivu.2.hawajui wajibu wao.3.hakuna moyo wa kujitumaAmekukuta una kazi yakoanakupachika nyingine.......aaargh
kero hizo hazitaondoka kwa sbb zifuatazo./ 1.baadhi ya wafanyakazi ni wavivu.2.hawajui wajibu wao.3.hakuna moyo wa kujitumaAmekukuta una kazi yakoanakupachika nyingine.......aaargh
Ofisi za hivyo daha zinaweza zikamshawishi mtu kuondoka, isipokuwa mtu kama ana malengo flani falni ya kukamilisha panapo mshahara ni mzuri! Vitu vya kijamii ni muhimu kuvijua maana ndo unaishi humo!Mimi kero yangu, ofisini zaidi ya salamu hakuna kupiga stori ya aina yoyote ile. I really miss the bongo working behaviour, kazi kidogo na stori kidogo. Sio kazi tuu na kupeana smiles.
Hiyo namba tatu inawezekana hakuna motisha katika hiyo ofisi! Ila ukizungukwa na wafanyakazi wenzio ambao wote ni wavivu duh sipati picha!kero hizo hazitaondoka kwa sbb zifuatazo./ 1.baadhi ya wafanyakazi ni wavivu.2.hawajui wajibu wao.3.hakuna moyo wa kujituma
teh teh teh teh! Pooooole mzee! Hukuleta sura ya kazi hapo?
4.kukomoanakero hizo hazitaondoka kwa sbb zifuatazo./ 1.baadhi ya wafanyakazi ni wavivu.2.hawajui wajibu wao.3.hakuna moyo wa kujituma
Hahahahhahaa! Pole sana Mamdenyi!Unaingia jf ...unable to connetumepata jf umeme umekatika
Khaaa! Nilifikiri unazungumzia kero, kumbe unazungumzia tabasamu! Hahahahahaha!Men at changing the World PROJECT......................................hahhahahahahahah
Hahahhhaha! Pole sana! Kuna wengine wanacheka kwa sauti kubwa sana utafikiri sufuria tatu zinadondoka sakafuni toka juu kwenye urefu wa mita tano, kazi kweli kweli!Kuna mmoja huku kwetu akianza kucheka.....loooohhh yaani anakuwa kama wale wa ...........MAHOKAAAAAAAAA.........wa enzi za mwalimu
Hahahhhaha! Pole sana! Kuna wengine wanacheka kwa sauti kubwa sana utafikiri sufuria tatu zinadondoka sakafuni toka juu kwenye urefu wa mita tano, kazi kweli kweli!
Afadhali ya hiyo, kuliko kuingia ofisini hujachana nywele au hujapiga mswaki, si noma hiyo?Unaingia ofisini...na wewe peke yako ndo hujavaa tai!!!
Afadhali ya hiyo, kuliko kuingia ofisini hujachana nywele au hujapiga mswaki, si noma hiyo?