The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
- Maji kazini hayatoki na hamna akiba hali uko porini.
- Boss kukulazimu mtoke lunch alafu kutaka muende stage inayofuata.
- kufanya ofisi haina sare ya kazi - presha tupu kuhusu mavazi!
- Kuomba assistance kwa mfanyakazi mwenzio ambae hujifanya yuko busy kweli kumbe yuko jf.
hiyo no 2 hiyo
mko wengi naona kumbe lol