Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,105
- 2,499
1. Upo rum mmoja na mwenzio, anaweka AC juu kupita uwezo wa mwili wako kuhimili ile baridi kali.
2. Upo rum mmoja ofisini, mwenzio wageni ni vidosho tu kwa kwenda mbele.
3. Ile unafika asbh ofisini, mood ya kuwepo ofisini haipo unatamani utoke ukazurure kidogo ndo urudi ofisini.
4. Mtu anakupa kazi ambayo siyo ya kwako, ukiharibu hiyo kazi imekula kwako
5. Mengineyo ntaongezea.......
2. Upo rum mmoja ofisini, mwenzio wageni ni vidosho tu kwa kwenda mbele.
3. Ile unafika asbh ofisini, mood ya kuwepo ofisini haipo unatamani utoke ukazurure kidogo ndo urudi ofisini.
4. Mtu anakupa kazi ambayo siyo ya kwako, ukiharibu hiyo kazi imekula kwako
5. Mengineyo ntaongezea.......