mtafutaji hacho
Member
- Dec 4, 2011
- 13
- 3
wakubwa habari zenu! jamani hivi hizi kazi za kwenye magazeti huwa wanaita watu kwenye interview au hata kuwapatia watu kazi? mwenzenu mie ni graduate yani nimetuma barua za kazi zisizopungu 70, ila sijawahi itwa, hapa nilipo nimejikatia tamaa, au kama kuna sehemu nakosea naomba msaada wenu