Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Miye niliwahi kuona wakati mmoja dada kagongana na jamaa na mkoba ukaanguka na vikatapakanyikaa.. ni kweli vingi vilivyoonekana ndivyo hivyo vilivyotajwa na vingine ilibidi nilishwe yamini kutovitaja.. kitu pekee ambacho hakikuonekana kudondoka kwenye mikoba ni cash! no cash at all hata coins! Sasa leo najiuliza na baada ya kusoma vitu vyote vinavyobebewa hapa labda mtu mmoja tu alisema fedha kwenye hiyo mikoba.
a. Hivi huko wanakokwenda (guest) au mitaani kuna ATM?
b. Au wana uhakika kuwa cash si tatizo..?
a. Hivi huko wanakokwenda (guest) au mitaani kuna ATM?
b. Au wana uhakika kuwa cash si tatizo..?