Hizi Handbag za kinadada hizi mmmh?

hehehehhehehhhe lika aliocoment hii thread kanifurahisha wallah hee??kuna huyo chapa naro asema eti sie huwa twafanya shopping njia nzima ehhehhehhehh lol...
 
Jamani hvi vi2 vyote vya nini?wakati umetoka home tayari ushajipodoa?

kwa upande wangu ni:
Kioo-Kujitazama je niko vizuri au kuna kasoro fulani.
Poda-kujipaka kupunguza jasho
Wanja-wa kujiremba
Lips shine-lips zivutie kwa mng'aro
Lips stik-situmii
Handchef-kufuta jasho na vumbi vumbi
Lotion-nikipauka
Ch**i-sina tabia ya kubeba
Kanga- ya nini natumia hm
Wembe-sihitaji mpaka nikiwa home
Pedi-nabeba nikiwa siku nzito
Kitana-kuchana nywele, zinaweza kutibuka, ukiwa njiani kuwahi ofisini.
uzi na sindano-bahati mbaya nguo ichanike au kifungo cha shati la bosi kitoke nakirudishia
Perfume-Kunukia muhimu
Deodorant-mara moja moja. Hii sio ya kuizoea ina madhara
Sticks-wengine tunapenda kutafuna nyama
 
Msisahau kuangalia huyo mama mwenye bag kuubwa muone kama ni mjamzito au lah!

Wakina mama wajawazito hulazimishwa kutembea na mabegi yenye kila kitu .... gloves, bunda la pamba, nguo za mtoto, pair kadhaa za khanga, pads, etc.... jamani kuzaa Tanzania usiombe! Bora ughaibuni maana angalau kuna ustaarabu na kuheshimu uzazi.
 
...nimekaa kwenye kigoda mie nawaangaliaaa bin kuwazngatia....ahh sjabeba mkoba wangu leo..!!!!!!
 
Mwanamke asili yake ni urembo wewe ulitaka abebe ..nyundo na shockabsober kwenye handbag?
 
wanawake kazi yao kupendeza....si tunajua hivyo, na wao wanajua hivyo.....hakuna zaidi ya hapo.....saa nyingine wanajisahau wanadhani wako sawa na wanaume, ila baada ya muda wanakumbuka ukweli, halafu wanaenda kupaka lipstick.
 
Yaani Mamito hawana jema hawa...kuna kipindi mie nlikutwa na ile set ya kisu cha kukunja, chenye nail cutter, mkasi na opena ya wine....nikaitwa mwuuaji....................haya sijui

ahh apo sasa!!!!
icho kisu niletee bas nakitaka mie...mie kwenye poch yangu UPUPU HAUKOSEKAN!!!!!!
 
Back
Top Bottom