Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Nakumbuka zamani tulikua tukiambiwa na waliokua wametuzidi umri, kwamba : Panapokua na mvua iambatanayo na Radi tusivae nguo nyekundu.
Kwamba : kwa wale wenye maduka ya walaji bidhaa rejareja (consumers shops) hawauzi chumvi usiku na ikitoke mlaji amelazimika kwa dharura basi akifika dukani aseme "NATAKA DAWA YA MBOGA" ndiyo muuzaji atampatia chumvi! Kwani akitaja neno chumvi ikiaminika kuleta Balaa ama mkosi (japokua hakuna aliyeweza kuweka bayana ni mkosi wa aina gani)
Sasa kuna la mwisho ambalo hasa ndiyo (kama mchezaji nyota) ambalo hass'sa nimelilenga nisaidiwe kupata comments za kutosha kuhusu ukweli wake :
Kwamba : Endapo binti/msichana whatever atakutana kimwili na kijana wa kiume ama mwanaume fresh aliyetoka jandoni, ikawa mwanamke huyo ndiyo wa kwanza kuzindua bakora mpya ya kijana husika, basi ikiwa ni binti au mwanamke mkubwa basi watakua hawashikiki kwa kua na mapepo ya ngono!
Nini ukweli wa haya?
Kwamba : kwa wale wenye maduka ya walaji bidhaa rejareja (consumers shops) hawauzi chumvi usiku na ikitoke mlaji amelazimika kwa dharura basi akifika dukani aseme "NATAKA DAWA YA MBOGA" ndiyo muuzaji atampatia chumvi! Kwani akitaja neno chumvi ikiaminika kuleta Balaa ama mkosi (japokua hakuna aliyeweza kuweka bayana ni mkosi wa aina gani)
Sasa kuna la mwisho ambalo hasa ndiyo (kama mchezaji nyota) ambalo hass'sa nimelilenga nisaidiwe kupata comments za kutosha kuhusu ukweli wake :
Kwamba : Endapo binti/msichana whatever atakutana kimwili na kijana wa kiume ama mwanaume fresh aliyetoka jandoni, ikawa mwanamke huyo ndiyo wa kwanza kuzindua bakora mpya ya kijana husika, basi ikiwa ni binti au mwanamke mkubwa basi watakua hawashikiki kwa kua na mapepo ya ngono!
Nini ukweli wa haya?