EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Dah kama mwezi umepita sasa tangu nijaze fomu ya ku update information ya akaunti yangu ya CRDB, nikajua nimemaliza kumbe kha! Leo tena nimeletewa fomu nyingine ina madudu ya kujaza kibao kama nafungua akaunti mpya au natafuta mkopo wa loan board bhana!