hizi fomu mpya za kujaza benki

crdb mbona wana nafuu. Nbc ni unoko mtupu, atm access ziko blocked mpaka uwe umeupdate account yako. Kibaya zaidi hawajali uko wapi kwa sasa, ukitaka wakufungulie inakubidi ukakamilishe taratibu zao tena kwa kurudi kule ulikofungulia akaunti. Taratibu zao ni ngumu sana kulinganisha na benki zingine. Sasa inawezekana wao ndio wahanga wanaolengwa na zoezi hili, pesa chafu nyingi sana zinapitia/zimepitia nbc.

hii ndiyo sababu mimi fedha zangu siweki benki. Kama ni kutuma ama kupokea fedha nitatumia m-pesa.....
 
Wakuu nashukuruni kwani nimepata mwanga kuhusiana na hizi fom sasa nitakwenda kuzijaza ,juzi nilikwenda Bank nikazisoma nikapata hofu nikaondoka.
 
Jamani nina jamaa yangu nje ya nchi mnaona atafanyaje ana pesa kwenye account.

tusaidieni afanyaje?

msaada please?
 
Hata mimi nina jamaa yangu yuko nje ya nchi, ni mtumishi wa serikali mshahara wake unaingia bank mpaka sasa huyu anafanyeje?. Kwa aliye na taarifa yoyote tafadhari
 
ingekuwa vema ukimsukumia fomu
ipo #27 yeye akijaza na kuambatanisha na hiyo
barua ya mwajiri wake ascan akutumie huku then wewe
utampelekea benk. kama nimekosea wenye kufahamu
zaidi watasema hapa.

Hata mimi nina jamaa yangu yuko nje ya nchi, ni mtumishi wa serikali mshahara wake unaingia bank mpaka sasa huyu anafanyeje?. Kwa aliye na taarifa yoyote tafadhari
 
Back
Top Bottom