Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
STANBIC
Kila mwaka Visa Card zina expire, Full kujaza form na kujieleza.
kwa CRDB nimeona dead line ni tar 11 march (sina uhakika na tarehe lakini ni mwezi march) na km ifika hy tarehe ambao hawajajaza fomu hawapati huduma zozote za kibenki. nlikutana na mtu benk tukawa tunaulizana kwa nini utaratibu huu tena ghafla. akanambia kuna hela nyingi sana zimepotea benk,nadhan ndo wanajaribu kufatilia. kwa sbb fomu mpya (kwa crdb maana walitoa za mwanzo alaf wamebadilisha zingne) unaandika particulars zako zote, ikiwemo kazi yako na copy ya kitambulisho cha kazi, barua y kuthibitisha makazi kutoka kwa katibu kata wa kata unayoishi, KIKWANGO CHA PESA UNACHOINGIZA KWA MWAKA! n.k
wamebadilisha fomu, wameleta mpya ndo hzo unajaza hadi pato lako la mwaka! Km ulijaza basi we utakua wa mwanzo kabisa, ila inaweza ikatangazwa waliojaza fomu za mwanzo wakajaze tena fomu mpyambona mimi sijajaza wala kupeleka yote hayo
Benki zote sijui siku ya mwisho lini?
Nasali kwa bidii zoezi lisije kwa makabwela nmb.....maana shule na dispensari zitafungwa!