lolyz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 339
- 199
Kuna siku nilikuwa napitapita sehemu yenye msongamano wa watu nikamsikia mkaka mmoja anamuuliza mwenzie eti siku hizi kila mwanamke unayemuona ana makalio makubwa huwezi tofautisha kama zamani kiukweli nilijichekea kimoyomoyo....naona alikua hajui mambo ya kimjinimjini lol