Jumboplate
Senior Member
- Jul 29, 2008
- 133
- 10
Hivi kwa nchi maskini kama yetu tunapata wapi ujasiri wa kutuma fedha nyingi kiasi hiki kwa ajili ya matangazo makubwa (na mengi), bendera na tshirt nyingi kiasi hiki??inatia huzuni sana ukienda hospitalini (ama zahanati) kukuta hakuna vitanda au mashuka kwa ajili ya wagonjwa wakati marobota ya vitambaa yanachezewa katika kampeni...wanafunzi tena sehemu zenye baridi sana hawana uniforms lakini wazazi wao wanapewa tshirt nyingi tu kwa ajili ya kampeni. Inaudhi sana......