Hahahaa Bossman ..a good soldier never telegraphs his next move!
Yaani umwambie kuwa akifanya hivi na vile kitatokea hiki na kile? Huoni kama hapo utamfanya naye aboreshe mbinu zake za wewe kutokugundua alichokifanya?
Sifa gani hizo unazonipa? Hilo neno gubbe limekaa kama tusi tusi flani hivi. Na sijui umeliokota wapi. Tafuta neno jingine bana.gubbe silitaki mimi.
.
gubbe = Paka Shume lililoshindikana mtaani, kwa wale waliokaa au wako Tanga, gubbe = Gwagu.
.
Hupendi.....?!
mtu umezaliwa, umesoma, say na kubahatika kupata kazi maishani pia kwa mlolongo wote huo umejijengea marafiki kwanini ukioa au kuolewa upoteze marafiki zako?? watu wengine wana 'misuse' maana ya urafiki kwa kutembea na wake/waume wa rafiki zao vilevile kukombanisha wanandoa kwa umbea, uongo na wivu. hakika huo sio urafiki mwema kabisa.
Kama mambo yenyewe ndio hayo basi ni bora kuendelea kuishi ki-ugumu!.mtu umezaliwa, umesoma, say na kubahatika kupata kazi maishani pia kwa mlolongo wote huo umejijengea marafiki kwanini ukioa au kuolewa upoteze marafiki zako?? watu wengine wana 'misuse' maana ya urafiki kwa kutembea na wake/waume wa rafiki zao vilevile kukombanisha wanandoa kwa umbea, uongo na wivu. hakika huo sio urafiki mwema kabisa.
Nyaniizzo na Sipiyu kama nawaona vile mnavyoandika kwa hisia!!Poleni bana ila kumuoa mtu haina maana una hati miliki mpaka umbadili hata kwa yale yasiyo ya lazima!!
Sanaa!Naungana na wewe 100%Yani sishauri hata kidogo,practically NOT applicable to me.
mtu umezaliwa, umesoma, say na kubahatika kupata kazi maishani pia kwa mlolongo wote huo umejijengea marafiki kwanini ukioa au kuolewa upoteze marafiki zako?? watu wengine wana 'misuse' maana ya urafiki kwa kutembea na wake/waume wa rafiki zao vilevile kukombanisha wanandoa kwa umbea, uongo na wivu. hakika huo sio urafiki mwema kabisa.
Hapo sasa...utadhani anakubinafsisha kwa kila kitu!!
We Lizzinnho weweeee
Supibi zamu yako ifike halafu ndo utajua is it possible practically or not
Mimi nitasema wazi SIYAWEZI.
Sitaruhusu mianya ya usaliti ktk ndoa yangu.
Unachelewa kurudi home unadai ulikuwa kwa best wako Juma??? :confused2::confused2::confused2:
Aiseeee . . . . . .
inauma sana asee!!! umejuaje???!!!We Lizzinnho weweeee
Supibi zamu yako ifike halafu ndo utajua is it possible practically or not
Mimi nitasema wazi SIYAWEZI.
Sitaruhusu mianya ya usaliti ktk ndoa yangu.
Unachelewa kurudi home unadai ulikuwa kwa best wako Juma??? :confused2::confused2::confused2:
Aiseeee . . . . . .
Dah!!!Nwy ni vizuri unajua mapema kwamba huwezi...sasa nakushauri ukimpata waubani wako myaongelee haya mapema msije mkasumbuana mkiwa ndani ya ndoa tayari!!!