mi niliomba wilaya ya bukombe,,dah huenda waliniita ila sikuona gazeti dah bora wangekuwa wanatutumia msgMbona watu walishaitwa na kupangwa kazini, uliomba wilaya gani ili nikuangalizie mana mpaka leo gazeti lenye majina ya walioajiliwa ninalo? Una sifa zipi kwani inawezekana ukawa huna sifa ndo mana walikupiga chini. Sifa za watendaj kama unakumbuka ni zipi walikuwa wanataka.
Mbona watu walishaitwa na kupangwa kazini, uliomba wilaya gani ili nikuangalizie mana mpaka leo gazeti lenye majina ya walioajiliwa ninalo? Una sifa zipi kwani inawezekana ukawa huna sifa ndo mana walikupiga chini. Sifa za watendaj kama unakumbuka ni zipi walikuwa wanataka.