Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
mkumbuke bonifas ambani alikuwa mchezaji india
lazima ujivunie kuwa m'bongo kwa sababu hili la wahindi kutaka kucheza peku ni wewe tu hulijui
india wanatufunga,nakumbuka mwaka 1993 au 1994 timu yao ya taifa ilikuja ikadraw na yanga 0-0,ikaichapa simba 2-1 dar es salaam
ah hapana kama ni stail ya kucheza peku na kuvaa makubazi walioyokuwa wanataka sisi hatunayo. hiyo ni ya kwao:A S tongue::nod:Naona wahindi tunatoka nao droo.
teh teh teh teh,ila kaka nimejaribu kuangalia ukweli nimegundua gaucho alikuwa anahitajika brazil,mana walikuwa na viungo wakabaji walimkosa mchezeshaji,ila sidhani lakini kama ni 7bu wao kutobeba kombe mwaka huu 2010 fifa world cup south africa,nimeingilia mada ingine lakini,ila india kiwango ni sawa na sisi tu hatuchekani kwa maana nyingine,stay blessed and peace.Usizungumzie kuhusu timu ya Simba.
Simba ni uharo tu
teh teh teh teh,ila kaka nimejaribu kuangalia ukweli nimegundua gaucho alikuwa anahitajika brazil,mana walikuwa na viungo wakabaji walimkosa mchezeshaji,ila sidhani lakini kama ni 7bu wao kutobeba kombe mwaka huu 2010 fifa world cup south africa,nimeingilia mada ingine lakini,ila india kiwango ni sawa na sisi tu hatuchekani kwa maana nyingine,stay blessed and peace.
..Ni kweli kabisa nasikia kuna world cup moja kwenye 50s wadosi walitaka kucheza peku FIFA wakagoma na kuanzia hapo wahindi wakasusa kimoja!:frusty:Hapo penye red, unaweza kufafanua vzr naona imekaa kifix fix tu!