Hivi Wazungu wao wanajisikiaje katika Dunia yenye 'Miafrika Ndivyo Ilivyo'?

Kwa hiyo sasa wazungu wanaamini kwamba hiyo nadharia yake haikuwa sahihi?

Ninavyoona mimi kutokana na interaction zangu na wazungu na matukio mbalimbali ni kwamba hawana doubt juu ya ukweli kwamba intellect haitofautiani capacity kwutokana na asili ya mtu, yaani mzungu ama mwafrika.

Lakini naomba nikuwambie jambo moja.

Ninaamini kwa kwa kiwango kikubwa kwamba sisi waafrika hatuna 'sense of responsibility' na wazungu pia wanatambua hilo. Kutojali majukumu ndio kumetuweka nyuma. Ukiangalia hata mabaraza yetu ya mawaziri, wapo wengi waliofika shule lakini hakuna utendaji kwa kuwa tuna tatizo la kutowajibika na kutowajibishana.

Omari Mahita alijaribu kukwepa jukumu la kumwangalia mtoto wake mwenyewe, sasa unadhani huyo akiwa kiongozi atakujali wewe wakati mwanawe mwenyewe hakumjali?
 
Umasikini,Elimu duni,Uzembe, Ufisadi,Ubinafsi na Ubadhirifu wa Mali ya umma hivi vitu ndivyo vinavyotufanya turudi nyumba kimaendeleo ukiaangalia na wenzetu Wazungu hayo kwao hakuna hata kidogo ndio maana wanatuzidi Tujaribu kujirekebisha hayo mambo ndio tutakuwa na Maendeleo. Je wewe Au mimi tukipewa nafasi za kuwaongoza wenzetu tutakuwa Waaminifu?Tujiulize kila siku tutaendelea kivipi? kama sio mimi au wewe jitihadi zetu wenyewe ndizo zitakazo tufanya tuendelee Tuna Viongozi Wafisadi ingawa Mkuu wa nchi yaani Mheshimiwa ndugu J. Kikwete anajitahidi kupiga vita hayo Matatizo lakini waliokuwa chini yake ndugu Rais wengi wao ni Mafisadi je Nchi yetu itaendelea kweli? ukitaka haki yako itabidi Utowe Rushwa basi nchi yetu inanuka kwa Rushwa hata Umeme umekuwa Mgao na Maji masafi hakuna Afya za Wananchi zinakuwa kila siku mbaya sababu ni sisi wenyewe tunawachaguwa viongozi Mafisadi wanaoharibu nchi yetu kila kukicha nchi inazidi kuwa Masikini tuamke kuwachaguwa Viongozi wazuri tunashindwa hata na majirani zetu wanaendelea sisi bado tupo nyuma wakulaumiwa nani? kama sisi wenyewe Tujitahidi Kuinuwa nchi yetu wenyewe tusitegemee misaada kutoka kwa Wafadhili nje ya nchi Asanteni.
 
Wewe lazima una tatizo la low selfessteem , na unajidharau na kwenye akili unazani wazungu wana akili kuliko wewe.. wengine hatuamini hivyo.. eti "miafrika ndivyo tulivyo" .. sema wewe ndio ulivyo miafrika na nani? wazungu wazungu .. wewe vipi? na hiyo title yako hao wazungu wako wakisoma wanafurahi kweli .. ..kwamba unajidharau mwenyewe..
 
Wewe lazima una tatizo la low selfessteem , na unajidharau na kwenye akili unazani wazungu wana akili kuliko wewe.. wengine hatuamini hivyo.. eti "miafrika ndivyo tulivyo" .. sema wewe ndio ulivyo miafrika na nani? wazungu wazungu .. wewe vipi? na hiyo title yako hao wazungu wako wakisoma wanafurahi kweli .. ..kwamba unajidharau mwenyewe..

Watu wenye high self esteem hawa-react namna hii (Rejea Black Skin White Masks)
 
wanaona poa tu kuwa dunia iko hivi ilivyo kwa ajili ya miafrika jinsi ilivyo
 
Msome Charles Davenport na Eugenics utapata jibu.
KWA KIFUPI WAZUNGU WANGEWEZA WANGEFUTILIA MBALI WAAFRICA NA WATU MASKINI.
Read this:

"The plan of the eugenics movement was that since the poor had these genes for feeblemindedness, which led them to misery, vice, and crime, the obvious solution to American social problems was to sterilize them, and restrict the immigration of more poor."
  • "The general program of the eugenicist is clear -- it is to improve the race by inducing young people to make a more reasonable selection of marriage mates; to fall in love intelligently. It also includes the control by the state of the propagation of the mentally incompetent. It does not imply the destruction of the unfit either before or after birth."
"It is better for all the world, if instead of waiting to execute degenerate offspring for crime, or let them starve for their imbecility, society can prevent those who are manifestly unfit from breeding their kind. The principle that sustains compulsory vaccination is broad enough to cover cutting Fallopian tubes. . . Three generations of imbeciles are enough."

Mawazo ya wazungu wengine ni kama haya hapa:
I am aware that colonialism has torn apart Africa, both economically and socially, but why does sub-Sahara Africa seem to not be able to recover from colonialism? India, China, Japan, Iran, South-East Asia, and Latin America were all colonized yet they are doing relatively well compared to sub-Sahara Africa. The Jews had genocide against them and they are still functioning strong. The Japanese American were interred in concentration camps during WWII, yet they recovered. Why is Africa special? If the Africans are more genetically diverse than any other people how is genetics not a factor contributing to behavior? It seems to me that people of African origin, often but not always, have more impulsive tendencies and this impulsivity is the one of the causes for increased levels of violence and sexually transmitted diseases among people of sub-Saharan African origin. I believe it's this impulsivity that needs to be bred out of people of all ethnic groups around the world, although Africa may benefit more than most ethnic groups. I think sterilizing violent prison inmates would reduce impulsivity in future generations, and these sterilizations could be conducted in equal percentages according to each major ethnic group in order to maintain ethnic fairness.
 
Companero,
Mkuu wazungu watafikiria vipi zaidi ikiwa waliweza kuja Afrika na kuizoa Miafrika kwa mafungu kuingia utumwani..Leo mnakwenda kwa ticket zenu wenyewe iweje wafikirie kinyume. Labda hao walalahoi, wazungu wa east Europe ndio bado wana kinyongo sana na hawafahamu kinachoendelea..na Ukiona mzungu anakuwekea kauzibe basi bila shaka ni kutoka east europe..
Tishio kubwa la Mwafrika kwa mzungu ni kuchukua wake/waume zao maanake wanajua fika kwamba Miafrika hatuna sifa zaidi ya utumwa na ngono. Tazama sinema zote za watu weusi asilimia kubwa utakuta ni ngono, uchawi na Utumwa.
 
the truth is wazungu wana low opinion ya watu wote wenye ngozi nyeusi na wengi wao wana sababu nzuri za kufikiri hivyo.watu weusi hatuna kitu cha kuonyesha ndiyo maana baadhi yetu kama kina michael jackson walijaribu kuwa wazungu
 
Companero,
Mkuu wangu nilikuwa nafanya utani lakini sasa naona watu wanaanza kuamini..
Hakika kama hujavaa kiatu cha mtu mweusi huwezi kufahamu maumivu yake...hawa wazungu watasema wanavyotaka maadam wao hawakivai kiatu chetu.. Ebu tazama hao wazungu wote wanaoishi neighbourhood za watu weusi hawana tofauti na weusi.

UMASKINI mkuu wangu ni tatizo kubwa sana hasa mtu anapojaribu kujiondoa ktk Umaskini pasipo kuwa na mtaji..Tazama hata hizo nchi za east Europe nchi kama Romania.. hadi majuzi tu walipoingia wenye mtaji nchi imeanza kubadilika pamoja na kwamba gap ya maskini namatajiri inapanuka. kuna watu wana kmaisha duni kuliko wale Wasudan wa South. Wahindi koko wa Kariakoo maisha yao sawa kabisa naya mtu mweusi.Nenda China na India ukajionee mwenyewe sehemu za maskini zimekaa vipi!

Na mwisho ni exposure... nchi zote ambazo zilikuwa kizani ndizo zimekuwa nyuma katika maendeleo ya watu wake na kibaya zaidi kama nilivyojieleza ktk mada nyinginezo..
Tatizo la watu weusi ni ULIMBUKENI tumeshindwa kutafiti nini sababu ya Umaskini wetu..Tatizo liko wapi na kisha tupate kutafuta solution. Hiyo kazi ni ngumu sana kwetu, tunataka mabadiliko ya masiha yetu kesho..Huna fedha huwezi kulipa kodi swala la kunaishia kwamba huna fedha.. why? hapo ndio ngoma kwani maskini hata kufikiri kwake kuna kikomo.

Chukulia mfano wako wewe.. umekaa Bongo kwa miaka mitano, leo umeshafikiria kuondoka Bongo kwa sababu umeshindwa kutafiti tatizo hasa ni kitu gani na utaweza vipi kulikabiri hilo tatizo..Na ukweli ni kwamba wewe binafsi huwezi kuyaondoa matatizo ya Tanzania kwani Umaskini wetu sii wa mtu mmoja. Hivyo, kwa kutafuta njia rahisi na ya haraka umefikia maamuzi ya kuondoka kuihama nchi..Huko nyuma unaiacha Tanzania ile ile yenye matatizo na itakusubiri utakapo shindwa tena Ulaya, pengine utaikuta katika hali mbaya zaidi.

Nitarudia kusema Umaskini wetu unatokana na uchovu wa kufikiria. Tunatafuta sana mbinu za kuondokana na Umaskini badala ya kutafuta Umaskini wetu unatokana na kitu gani. Nini chanjo na tiba yake na kuna utaratibu gani unatakiwa kuhakikisha umaskini unaondoka.. Tunachokifanya sisi ni sawa na mgonjwa anayekwenda tibiwa maradhi ya kuambukiza hali umma wote ni wagonjwa. Hivyo kila mtu hujaribu kujitibu yeye iwe kwa mganga wa kienyeji, hospital na wengine kuruka ni hatua hiyo hiyo ya maisha ya mtu mweusi kutokana na mfumo wa maisha yake. Akisha pona anarudi tena ktk jamii ile ile yenye maradhi ya Umaskini..

Kwa hiyo utaratibu wa wenzetu hasa wazungu ni sawa kabisa na jinsi wanavyotibu magonjwa.. diagnosis kwanza, ikibidi unapewa maji ya kuongeza nguvu (stimulus) kisha tiba inafanyika na kama ni ugonjwa wa kuambukiza basi chanjo kwa wananchi wote na karantini inawekwa kwa waathirika. Chanzo cha maradhi hayo iwe ni Toxic inafanyiwa usafi wa haraka sana iwezekanavyo..
Sisi tumekosa Umeme tu tupo tayari kukunua mitambo ya Dowans as if ndiyo pekee duniani (an easy wayout) hali tunafahamu fika kwamba MW100 bado haitoshi kabisa ila italeta nafuu ya muda. Kichekesho ni kwamba tatizo la Umeme Dar lina zaidi ya miaka 20. na tunaingia miaka 3 toka sakata la Richmond..
 
Sasa hatuna umeme huku tuna gas ya kuendesha mitambo ya umeme nchi nzima kwa miaka hata 50 na sio hatuna pesa za kununua mitambo..TUNAZO na za ziada lakini kwa nini hii shida inatupata? very simple RUSHWA na KUTOFUATA SHERIA period!
 
Jana NASA (iliyoanzishwa na iko dominated na mizungu) wameutwanga mabomu mwezi katika jitihada kutafuta dalili za maji na hatimaye uhai. Mnaona mizungu ilivyo na akili?

Liafrika gani lingeweza kutengeneza miroketi itakayopiga mwezi (moon).

Mizungu deep down inatudharau sana sisi na ina haki ya kutudharau. Kamwe mtu aliyekuchukua utumwa na aliyekutawala hawezi kukuheshimu. Heshima inakuwa "earned".

Namsubiri Raj aje hapa maana hapatakalika. Na kwa upande mkubwa jamaa ana hoja kali kiasi kwamba kwenda naye toe to toe watu huwa hatuwezi na hatimaye huishia kumrushia matusi. Kuna siku moja aliwahi kuuliza kati ya binadamu na punda nani mwenye akili na nani anamwongoza mwenzake. Jibu lake ni wazi kuwa binadamu tuna akili zaidi ya punda. Hivyo basi hata katika binadamu wale wenye akili zaidi daima siku zote watawaongoza wale wasio na akili. Sasa linganisha kati ya mzungu na mwafrika nani anamwongoza nani?
 
Katika tafakuri zangu za kujiandaa kurudi kubeba maboksi kwa wazungu nimejikuta tena nikiitafakari nadharia tata ya 'Miafrika Ndivyo Ilivyo'. Ila leo nimeiangalia kwenye upande wa pili wa thumni. Hivi hawa wazungu ambao mwananadharia wa 'Miafrika Ndivyo Ilivyo' anadai wamependelewa na Mungu kuwa na vichwa vya kuvumbua sana wao huwa wanajisikiaje?

Kwa mfano, yanapotamkwa majina ya Galileo Galilei, Isaac Newton, Abraham Lincoln, Marie Curie, William Shakespear, Albert Einstein, Bill Gates na wazungu wengineo je mzungu anajisikiaje? Je, anajisikia kuwa hayo ni mafanikio ya Kizungu tu? Au anakubaliana na Frantz Fanon kuwa mafanikio hayo ni ya watu wote duniani ikiwamo Miafrika/Mitanzania?

Kama kuna mzungu humu ndani au mtu anayewaelewa vizuri wazungu basi naomba anisaidie kuelewa hili suala maana nadhani lina jibu la matatizo yetu Miafrika. Ningependa kujua mtu kama Jim Sinclair anajisikiaje hasa anapotoa yale matangazo yake kuhusu jinsi wanavyochota madini ya Mitanzania. Je, na yeye anajisikia kama yule Paul Mooney wa Makuadi wa Soko Huria? Kwa ujumla, je, wanajisikiaje kuhusu 'Miafrika ndivyo Ilivyo'?


Eti ni kweli Mlima kilimanjaro,ziwa victoria,bonde la ngorongoro,mto kabale na baadhi ya maliasili hapa tanzania waligundua wazungu?hivi kweli waafrika tulishindwa kuuona hata mlima kilimanjaro....Ni hatari kwelikweli!Maana hata utafiti wote wa kutafuta madini ya asili hapa kwetu unafanywa na wazungu....
 
The hurting truth is miafrika have been blessed with low intelligence compared to other races and thats why are being used so easily.And this for sure has something to do with our genetics.It is always there,it wont leave you guys alone na ndiyo maana hata ukienda ku graduate Harvard law school ull go back and sign a 3% contract.shame!
 
Jana NASA (iliyoanzishwa na iko dominated na mizungu) wameutwanga mabomu mwezi katika jitihada kutafuta dalili za maji na hatimaye uhai. Mnaona mizungu ilivyo na akili?

Liafrika gani lingeweza kutengeneza miroketi itakayopiga mwezi (moon).

Mizungu deep down inatudharau sana sisi na ina haki ya kutudharau. Kamwe mtu aliyekuchukua utumwa na aliyekutawala hawezi kukuheshimu. Heshima inakuwa "earned".

Namsubiri Raj aje hapa maana hapatakalika. Na kwa upande mkubwa jamaa ana hoja kali kiasi kwamba kwenda naye toe to toe watu huwa hatuwezi na hatimaye huishia kumrushia matusi. Kuna siku moja aliwahi kuuliza kati ya binadamu na punda nani mwenye akili na nani anamwongoza mwenzake. Jibu lake ni wazi kuwa binadamu tuna akili zaidi ya punda. Hivyo basi hata katika binadamu wale wenye akili zaidi daima siku zote watawaongoza wale wasio na akili. Sasa linganisha kati ya mzungu na mwafrika nani anamwongoza nani?

Nakubaliana na wewe, the dude.
 
Jana NASA (iliyoanzishwa na iko dominated na mizungu) wameutwanga mabomu mwezi katika jitihada kutafuta dalili za maji na hatimaye uhai. Mnaona mizungu ilivyo na akili?

Liafrika gani lingeweza kutengeneza miroketi itakayopiga mwezi (moon).

Mizungu deep down inatudharau sana sisi na ina haki ya kutudharau. Kamwe mtu aliyekuchukua utumwa na aliyekutawala hawezi kukuheshimu. Heshima inakuwa "earned".

Namsubiri Raj aje hapa maana hapatakalika. Na kwa upande mkubwa jamaa ana hoja kali kiasi kwamba kwenda naye toe to toe watu huwa hatuwezi na hatimaye huishia kumrushia matusi. Kuna siku moja aliwahi kuuliza kati ya binadamu na punda nani mwenye akili na nani anamwongoza mwenzake. Jibu lake ni wazi kuwa binadamu tuna akili zaidi ya punda. Hivyo basi hata katika binadamu wale wenye akili zaidi daima siku zote watawaongoza wale wasio na akili. Sasa linganisha kati ya mzungu na mwafrika nani anamwongoza nani?

Mh, I like this argument man!
 
Mimi natofautiana na dhana Miafrika ndivyo tulivyo" binaadamu wote tunazaliwa na akili regardless of one skin colour, (my simple equation in brain development and human progress is: "Advance in mankind = Education + Society + Enviroment") Kupevuka kwa akili kunahitaji vimeleo na kimeleo kikubwa cha kukuza akili ni Elimu ikifuatiwa kwa karibu na vitu kama mazingira na jamii.
Elimu ni muhimu katika kuleta maendeleo ya mwanadamu ila unahitaji kuishi katika jamii iliyoelimika na mazingira yaliyo bora na hili ndio tunalolikosa waafrika wengi.
Sio kweli kwamba watu weusi wana akili finyu kwa sababu kuna mifano mingi ya watu weusi wachache(USA,Europe etc) ambao kutokana na kuishi katika mazingira safi, kuishi katika jamii endelevu na kuwa na elimu bora basi wanafanya mambo makubwa kufikia hata kuwaongoza hao wazungu!
Bila elimu, mazingira safi na jamii iliyoerevuka akili nayo hudumaa na upeo kwa kufikiri nje ya box unakuwa finyu.
Kwa wanafunzi wengi wa kiafrika wao wanasoma kwa misingi ya kuepuka njaa na umasikini huko mbeleni wakati wale wa kizungu wana misingi ya kuendeleza sayansi na teknolojia na hapa ndio inakuja tofauti, sio kwamba wametofautiana kiakili bali priorities.
Ni muhimu kwa binaadamu yoyote ajue historia na asili yake kwani ndio "msingi" wa elimu, Historia ndio A,B,C ya elimu (mwanzo wa elimu) bila kujua historia yako usijidanganye kwamba umesoma,hata kama una maPhd. "A person without a knowlwdge of his past origin and history is like a tree without roots" Na ndio maana ukaona Mzungu hata kama vipi lazima amfunze mwanawe historia yake, ndio ukaona hawa wamarekani weupe takriban wote wanajua historia na asili yao, iwe aliekuja kutoka Ireland, Holland, Poland, Israel, Russia, Scotland nk hata kama ni miaka 600 nyuma. Lakini hawahawa walimnyima mnugu asijue historia na asili yake! Bila ya kujua asili yako ni kile alichosema Malcolm X unakuwa "trained" na sio "educated" kama hawa weusi wa marekani wangekuwa educated naamini leo hii wangekuwa very advance katika maisha na pengine hata Afrika ingepiga hatua na tusingeona vitu kama mikorogo, weaving na Wacko Jacko kamwe.
 
Back
Top Bottom