Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
self-congratulation at per with unfounded grandeur..perhaps based on influence from fellow mythologists' shortsightedness..Mimi MwaGwangambo nani zaidi. Ndi ifumu une! Sio kichwa cha Panzi.
self-congratulation at per with unfounded grandeur..perhaps based on influence from fellow mythologists' shortsightedness..Mimi MwaGwangambo nani zaidi. Ndi ifumu une! Sio kichwa cha Panzi.
wataalam wa mambo wanadai wana roho 7 kama paka,
so ulimboka zilikufa roho 5 zikabaki 2
makyembe zilikufa 6 ikabaki 1
mandyosia zimeshakufa 3 bado 4
mwaikombo kwa bahati mbaya zote 7 ziliondoka kwa mpigo.
mungu awape nguvu wapone tuendelee na mapambano
ni jamaa wa TISS? vipi alikuwa na kashfa gani? nafikiri atakuwa anatokea mbeya. kumbuka tunaongelea watu wa mbeya sio kabila gani , sawa?
wataalam wa mambo wanadai wana roho 7 kama paka,
so ulimboka zilikufa roho 5 zikabaki 2
makyembe zilikufa 6 ikabaki 1
mandyosia zimeshakufa 3 bado 4
mwaikombo kwa bahati mbaya zote 7 ziliondoka kwa mpigo.
mungu awape nguvu wapone tuendelee na mapambano
Kikwete hajawahi kukanyaga Mbeya tangu achaguliwe 2010.Nape mwenyewe kashindwa hata kuhutubia mkutano wa hadhara tangu alipoingia Mbeya, Watu wa Mbeya hawadanganyiki isitoshe wameshaichoka CCM rejea vurugu za machinga ilikuwa vita kali mpaka jeshi kuingilia kati maana polisi wote walishindwa tena wa mikoa miwili Iringa na Mbeya.
Ongeza hawa...
6. Jaji Mwakasendo...
7. Law Prof. Jwani Mwaikusa
Kwa sababu HAWATAHIRIWI
6. Prof. Jwani Mwaikusa