Hivi watu wa Mbeya ni vichwa sana?

Watu wanaoweza kuiongoza hii nchi na kutupeleka kwenye nchi ya maziwa na asali ni wa kutoka mikoa mitatu tuu,MBEYA, KAGERA na KILIMANJARO nadhani hata kwenye baraza la mawaziri la sasa mnaona utendaji wao.

Siyo kweli. Naweza kusema kuwa watu waadilifu zaidi ni wa-Kurya. Akipatikana kiongozi aliyeenda shule Mkurya nchi itakuwa ni ya asali na maziwa.

Mifano mibaya.
Moshi:Mramba (kaiba na kuuwa ATC), Mgonja, Anna Mkapa etc
Kagera: Karamagi (jizi la kupindukia, kauza madini yetu na anaihujumu bandari)
Mbeya: Nafuu Mwakyembe. Mwandosya hafai kabisa. Ni mkabila mno na aliihujumu TTCL akiwa waziri wa mawasilianao na uchukuzi in favour of Airtel. Na akiwa waziri wa maji alizuia DAWASCO kuwakatia maji mawaziri wanaokwepa kulipa bili zao(hafai kuwa kiongozi huyu), wengine ni hao akina Mboma na Mwang'onda etc
 
Ukweli watu wa mbeya unafiki hawaujui, na huwa wagumu sana kuhongeka, hawadanganywi kwa kupewa kioo na wewe ukaondoka na dhahabu! I think hata dini inawasaidia sana!
 
Unajua nimekuwa nafuatilia jinsi ambavyo hadi sasa nimeona watu wa Mbeya wanakuwa na mwamko sana katika kupigania haki za watu, sijui kama wana kitu fulani kinachowafanya wawe hivyo. Ajabu ni kwamba mara nyingi wanakuwa victimised

1. Gibson Mwaikambo - alitaka kujiengua CCM kuingia Chadema, akapata "accident" iliyomuua siku usiku wa wa kuamkia kutangaza kujivua gamba kuingia Chadema

2. Prof. Mwandosya - tunajua yasiyojulikana yaliyomkuta

3. Dr. Mwakyembe - Tunajua yale ambayo hakuyaweka wazi yaliyomkuta na jidihada zake

4. Dr. Ulimboka - tunajua yaliyomsibu

5. ?

6. Prof. Jwani Mwaikusa
 
Wanapenda sana haki, hasa hao wakina mwa ni watu wa dini sana,.

Unajua Ukweli Mtupu umenifanya nikumbuke tukio moja la nyuma kidogo enzi za Nyerere, lililotufikia hapa Dar kuhusu watu wa Mbeya. Kawawa bwana alienda ziara Kyela akaamuru maduka binafsi yafungwe ili kupisha maduka ya ushirika. Watu wa Kyela wakalamika sana, lakini hawakusikiwa. Baada ya muda Abdu Jumbe akiwa makamu wa raisi na raisi wa Zanzibar akaenda ziara Kyela. Mwanzo wa hotuba yake akaanza TANU oyee, amini usiamini wakazi wa Kyela wakaitikia kwa nguvu "ziiiiiiii!!!". Jumbe alichanganyikiwa, akarudia tena akapata "ziiiiiiiiii!" nyingine. Basi hapo hapo aliondoka haraka kurudi Mbeya!

Habari ilipomfikia Nyerere ilibidi Nyerere atoe hotuba kwamba aliposema maduka ya binafsi yatakufa hakumuagiza kiongozi yeyote kufunga maduka ya binafsi, bali alisema yangekufa kutokana na ufanisi wa maduka ya ushirika!
 
wala ndizi !akili zao vodafasta!hazikwamikwami!zinawaza na kutenda kwa kujiamini mno!

Unaweza ukawa na point hapa! Watafiti wa mambo wa lishe na udaktari na wafanye utafiti. Katika kusoma kwangu shule ya msingi hadi UD, wengi wa watu wa Kilimanjaro, Bukoba na Mbeya walikuwa wanawaka sana darasani, mara nyingine kwa jinsi ya kutisha. Sasa nagundua kwamba hawa jamaa wana one thing in common - wanatoka mikoa yenye kulima ndizi!

Jamani, labda kula ndizi kunaongeza brain power!
 
Unaweza ukawa na point hapa! Watafiti wa mambo wa lishe na udaktari na wafanye utafiti. Katika kusoma kwangu shule ya msingi hadi UD, wengi wa watu wa Kilimanjaro, Bukoba na Mbeya walikuwa wanawaka sana darasani, mara nyingine kwa jinsi ya kutisha. Sasa nagundua kwamba hawa jamaa wana one thing in common - wanatoka mikoa yenye kulima ndizi!

Jamani, labda kula ndizi kunaongeza brain power!

true. ndizi zina madini mengi ya potassium ambayo kazi yake kuu ni kuimarisha mfumo wa umeme (lugha rahisi) mwilini. mfumo huu wa umeme ukiwa vema huwezesha pamoja na vitu vingine ukuaji wa ubongo ikiwemo mfumo mzima wa neva. kwa hiyo ndizi ni chakula cha balaa sana, wenye watoto wachanga muwe na utaratibu wa kuwalisha ndizi, kila siku, hata za kuiva poa tu.
mie ndo capital
 
5. Prof. Mwaikusa- mwanasheria - aliuwawa inasemekana na wauaji wa Rwanda katika kesi iliyohusu genocide Rwanda

6. Kibona - Waziri wa fedha awamu ya Mwinyi; alikufa sijui kwa nini


 
Mara baada ya Uhuru mwaka 1961, serikali iliamuru shule ya st. Michael's and st. George's Iringa iliyokuwa mahususi kwa watoto wa kizungu ichukue pia vijana wa kiafrika waliokuwa na uwezo kuchuana na wale watoto wa kizungu; wengi wa wale waliochaguliwa kutokana na mitihani waliofanya nchi nzima walikuwa wa kutoka mikoa ya Mbeya, kilimanjaro na Kagera!!Ukweli ndio huo mpende msipende na ndio maana Nyerere alikuwa anawabania sana watu wa kutoka huko na kuwashabikia watu wa makabila madogo kwa kuogopa watamfunika!!
 
Unaweza ukawa na point hapa! Watafiti wa mambo wa lishe na udaktari na wafanye utafiti. Katika kusoma kwangu shule ya msingi hadi UD, wengi wa watu wa Kilimanjaro, Bukoba na Mbeya walikuwa wanawaka sana darasani, mara nyingine kwa jinsi ya kutisha. Sasa nagundua kwamba hawa jamaa wana one thing in common - wanatoka mikoa yenye kulima ndizi!

Jamani, labda kula ndizi kunaongeza brain power!

Mmhh...kuna kaukweli hapa. Sikuwahi kusoma na mtu kilaza kutoka mikoa hiyo kuanzia sekondari hadi chuo kikuu!!
 
Siyo kweli. Naweza kusema kuwa watu waadilifu zaidi ni wa-Kurya. Akipatikana kiongozi aliyeenda shule Mkurya nchi itakuwa ni ya asali na maziwa.

Mifano mibaya.
Moshi:Mramba (kaiba na kuuwa ATC), Mgonja, Anna Mkapa etc
Kagera: Karamagi (jizi la kupindukia, kauza madini yetu na anaihujumu bandari)
Mbeya: Nafuu Mwakyembe. Mwandosya hafai kabisa. Ni mkabila mno na aliihujumu TTCL akiwa waziri wa mawasilianao na uchukuzi in favour of Airtel. Na akiwa waziri wa maji alizuia DAWASCO kuwakatia maji mawaziri wanaokwepa kulipa bili zao(hafai kuwa kiongozi huyu), wengine ni hao akina Mboma na Mwang'onda etc
Tatizo la waKurya ni kujipendekeza na unafiki, mfano mzuri ni mwanasheria mkuu Werema huwa anatetea hata vitu asivyoamini ili mradi tu ajipendekeze kwa Pinda na M.kwere. Ila ufisadi sio sana wenyewe wanafanya ujambazi wanachukua mchana kweupee, mfano Werema alikuwa hana nyumba ya maana pale kijijini kwao hadi alipopata uanasheria mkuu ndo kaweka kitu cha kisasa
 
Unajua Ukweli Mtupu umenifanya nikumbuke tukio moja la nyuma kidogo enzi za Nyerere, lililotufikia hapa Dar kuhusu watu wa Mbeya. Kawawa bwana alienda ziara Kyela akaamuru maduka binafsi yafungwe ili kupisha maduka ya ushirika. Watu wa Kyela wakalamika sana, lakini hawakusikiwa. Baada ya muda Abdu Jumbe akiwa makamu wa raisi na raisi wa Zanzibar akaenda ziara Kyela. Mwanzo wa hotuba yake akaanza TANU oyee, amini usiamini wakazi wa Kyela wakaitikia kwa nguvu "ziiiiiiii!!!". Jumbe alichanganyikiwa, akarudia tena akapata "ziiiiiiiiii!" nyingine. Basi hapo hapo aliondoka haraka kurudi Mbeya!

Habari ilipomfikia Nyerere ilibidi Nyerere atoe hotuba kwamba aliposema maduka ya binafsi yatakufa hakumuagiza kiongozi yeyote kufunga maduka ya binafsi, bali alisema yangekufa kutokana na ufanisi wa maduka ya ushirika!

wanakwambia aaaa we huwezi ukanizalau hata kama we ni kiongozi mkubwa na unahela. Hivyo ni vitu vyako mwenyewe
 
Kiaina huwa wanawa kubali.Leave apart,hao watata.Vijana Wa Tunduma kama wangekuwa ni wote Wa-tz tungekuwa tuna unafuu,kwa ile issue ya mawe kwa wazri wa mambo...Mantk yake nn?Kjana yupi na sehemu gani kwa haraka apate awarenes haoji mtu unakuja kwenye ziara ya chama unatumia gar la serikal?Hata hawa wasomi we2 wa Teku,nk.hawakuweza fanya hvyo.
Tunduma hatutaki ujinga hata kidogo.
 
wataalam wa mambo wanadai wana roho 7 kama paka,

so ulimboka zilikufa roho 5 zikabaki 2
makyembe zilikufa 6 ikabaki 1
mandyosia zimeshakufa 3 bado 4
mwaikombo kwa bahati mbaya zote 7 ziliondoka kwa mpigo.

mungu awape nguvu wapone tuendelee na mapambano

Roho 7?! hivi roho ya mtu inahesabika, ee! Ninachofahamu ni mapepo (spirits) ndio yana plural form!!
 
Eli Anangisye- Alitaka kupindua serikali
Mwakasendo- Nasikia aliuwawa pia
Brown Ngwilulupi- Muaisisi wa CHADEMA
Mary Kabigi-Mwasisi wa CHADEMA
Mwanjisi alimuandikia Nyerere hotuba aliyosoma UN kudai uhuru wa Tanganyika
Mama Mwinjisi- Headmistress wa kwanza Mtanzania, mwanamke mtanzania wa kwanza kugraduate makerere
 
5. Prof. Mwaikusa- mwanasheria - aliuwawa inasemekana na wauaji wa Rwanda katika kesi iliyohusu genocide Rwanda

6.
Kibona - Waziri wa fedha awamu ya Mwinyi; alikufa sijui kwa nini



I forgot about that dude...ila alikuwa anaheshimiwa sana miaka ile
 
Unajua nimekuwa nafuatilia jinsi ambavyo hadi sasa nimeona watu wa Mbeya wanakuwa na mwamko sana katika kupigania haki za watu, sijui kama wana kitu fulani kinachowafanya wawe hivyo. Ajabu ni kwamba mara nyingi wanakuwa victimised

1. Gibson Mwaikambo - alitaka kujiengua CCM kuingia Chadema, akapata "accident" iliyomuua siku usiku wa wa kuamkia kutangaza kujivua gamba kuingia Chadema

2. Prof. Mwandosya - tunajua yasiyojulikana yaliyomkuta

3. Dr. Mwakyembe - Tunajua yale ambayo hakuyaweka wazi yaliyomkuta na jidihada zake

4. Dr. Ulimboka - tunajua yaliyomsibu

5. ?
Ni watu kama K'bonde ndio wanaharibu sifa za watu wa Mbeya
 
Back
Top Bottom