Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Unajua nimekuwa nafuatilia jinsi ambavyo hadi sasa nimeona watu wa Mbeya wanakuwa na mwamko sana katika kupigania haki za watu, sijui kama wana kitu fulani kinachowafanya wawe hivyo. Ajabu ni kwamba mara nyingi wanakuwa victimised
1. Gibson Mwaikambo - alitaka kujiengua CCM kuingia Chadema, akapata "accident" iliyomuua siku usiku wa wa kuamkia kutangaza kujivua gamba kuingia Chadema
2. Prof. Mwandosya - tunajua yasiyojulikana yaliyomkuta
3. Dr. Mwakyembe - Tunajua yale ambayo hakuyaweka wazi yaliyomkuta na jidihada zake
4. Dr. Ulimboka - tunajua yaliyomsibu
5. ? Daudi Mwangosi - auwawa na polisi
Nilipotoa hii thread, niliweka kiulizo namba tano, na sasa naona kwa mara nyingine mtoto wa Mbeya amekuwa victim
1. Gibson Mwaikambo - alitaka kujiengua CCM kuingia Chadema, akapata "accident" iliyomuua siku usiku wa wa kuamkia kutangaza kujivua gamba kuingia Chadema
2. Prof. Mwandosya - tunajua yasiyojulikana yaliyomkuta
3. Dr. Mwakyembe - Tunajua yale ambayo hakuyaweka wazi yaliyomkuta na jidihada zake
4. Dr. Ulimboka - tunajua yaliyomsibu
5. ? Daudi Mwangosi - auwawa na polisi
Nilipotoa hii thread, niliweka kiulizo namba tano, na sasa naona kwa mara nyingine mtoto wa Mbeya amekuwa victim