Ni aibu sana kwa wabunge wa CCM kwa kulinda serikali yao na mambo ya kipuuzi kama kuchangai bajeti ambayo haimnufaishi mwananchi hasa yule mpiga kura na aliyetumbukiza kura yake kumchagua mbunge wa CCM magamba poleni sana nyie raia.Yaani mtu mzimaaa na akili zake anasimama kuwalinda viongozi wake mawaziri na rais wakati kafika bungeni kwa nguvu ya uma na sio nguvu ya waziri au rais,kwa kuchangia hoja mbovu nyie wabunge wa ccm ipo siku mtaulizwa na nyie wananchi waazibuni hao mnaowaita wabunge wenu kutoka ccm msiwape tena kura amkeni kuna vyama vya upunzani vikali tu Chadema nk kwa nini msiwape kura zote ifikapo 2015 ni wakati wenu sasa/wetu wa mabadiliko ya kweli