Wana jf habari za jumamosi? Mimi kuna wakati huwa napata wasiwasi na taaluma zetu kwa mfano kama hosiptari kubwa kama muhimbili inashindwa kumtibu mgonjwa wa malaria mpaka anapelekwa india? Wanasheria ndio basi madudu matupu, mainginia wanajenga majengo yasiyo imara pia barabara mbovu, upande wa I.T nako shida upo kwenye foleni atm mara utasikia network hamna, mara mishahara imechelewa network inasumbua, upande wa uongozi pande zote toka familia, vyuo mpaka nchi madudu. Sasa wa jf wapi tunapoweza.