Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Jamaa hana tamaa kwa jinsi nilivomchukulia approach yake kwa huyo dada siku hiyo! Hakuwa na nia mbaya.
Ina maana siku zooooote hizo alikuwa hajaona mtu wa kumfaaa,ila ghafla bin vuu ikatokea mlimani citi? Maana uliema uvumilivu ulimshinda na hii inaonyesha huyu jamaa hajatulia kabisaaaa,usimtetee.Au ni wewe nini unatuyeyu! Lakini alilen leson yake,hatarudia tena papara,kwani si vyote ving'aavyo ni dhahabu.