Hivi wasichana wanaangalia nini kwa wanaume?

Will be ther guiding you usijelizwa machozi kisha uje hapa utwambie ulimegua!!

Hahahahaha! Mj1 wewe! Wewe! Wewe! We haya tu!
Tia kambi pale. Tatizo hatujuani, sichelewi kurusha ndoano kwako!
Ukinikubalia, thread yake itakuwa haitoshi!
Hahahaha! Ngoja nicheke tu!
 
Hahahahaha! Mj1 wewe! Wewe! Wewe! We haya tu!
Tia kambi pale. Tatizo hatujuani, sichelewi kurusha ndoano kwako!
Ukinikubalia, thread yake itakuwa haitoshi!
Hahahaha! Ngoja nicheke tu!

Bahati yangu ni kuwa sina zile qualifications zako so am very safe mydia.

Nitakuwepo pale usihofu
 
Halafu na wewe! Wewe! Wewe!
Shauri yako! Huna mdogo wako anayekatiza maeneo yale? Huchelewiu kuwa shem langu!

tatizo mdogo wangu karakta ni kama zangu, humpati ng'oooooooo(kwanza nilisema siongei na wewe aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah)
 
matamaa yametawala sana, huyo mkaka atakuwa ana wake kilichompeleka kwa hyo dada ni tamaa tu hakuna kingine, na mdaa kama angemuona ni type yake ijapo kuwa nae ana wake lakini angeunganisha tela kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake....kupimana imani tu huko mwehh! tamaa jamani wakaka mpunguze tamaa, nyie ndio vyanzo...mami happy new year.

Nyamayao ukweli ni kwamba jamaa hana yaani hajampata mwenzi!
 
Alikuwa smart kweli alivaa jinsi na t-shirt na viatu cha kuchonga vyeusi alipendeza kwa kiasi chake.

Hahahaha! Sasa Mlimani City alienda kufanya nini? Si angejimwaga zake kambi ya fisi akajipakulie vyake?
 
tatizo mdogo wangu karakta ni kama zangu, humpati ng'oooooooo(kwanza nilisema siongei na wewe aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah)

Hahaha! Hizo ndo nazozitaka. Ni-PM contacts zake nitesti zali afu tuone.
 
tamaaa huzaa mauti.....sasa hapo jamaa kweli tuseme alipenda au alitamani!!! afadhali alipata la kupata (anauka) hahaaaaa loh huyo dada anajeuri kweli kweli!!!!

Jamaa hana tamaa kwa jinsi nilivomchukulia approach yake kwa huyo dada siku hiyo! Hakuwa na nia mbaya.
 
Huyo jamaa yako na yeye bwana mbona alimpapatikia hivyo huyo msichana?? hatufuatwi kiholela ati. angepaswa afanye mawasiliano ya macho kwanza (eye contact) na mdada, ampe muda wa kublush kidogo na yeye kwa mbali, jamaa naye ajipange, yani yale maandalizi ya mwanzo ni muhimu si kukurupuka tu kisa mdada ni mrembo mweupe anavutia na yeye na matamaa yake akaenda tu bila mpangilio. lazima angetolewa nje hata kama ni mimi ningekushangaa. fikisha ujumbe kwa rafiki yako sawa


Shukrani mkuu,nitafikisha ujumbe kwa mshkaji! Kila la kheri katika maisha yako!
 
pamoja na yote hayo hilo neno sio la kistaarabu, kwa mtu ambaye hamfahamiani/juani hata kidogo, better kuondoka na kumuacha hapo akiduwaa au ungemjibu vinginevo tu kistaarabu kidogo.


Sasa Nyamayao,hebu fikiria,huyo dada aliyemjibu jamaa kwamba unanuka pale Mlimani city siku akikutana nae ofisi moja kama wafanyakazi,ile picha ya kuambiwa 'UNANUKA' itafutika?
 
Back
Top Bottom