Hivi wasichana wanaangalia nini kwa wanaume?

haa kadungwa kristapeni, cku inakuharibikia hivi hivi unaiona, jamaa kajiendea "dada ssamahani naomba kuongea na wewe kidogo".....jibu alilopewa akanywea mwenyewe.

hahaaa alijuta kwenda mlimani city!!!! kutongoza tongoza tu, ngoja siku mkutane na majini ya mh. Sheikh Yahaya sasa!!!!
 
hapa level ninayoizungumzia ni utofauti uliopo kimuonekano labda naweza kusema, kuna mtu unaweza kumuangalia hivi tu na ukaona huendani nae, kimaongezi/ustaarabu nk.

Aaaa wapi! Ukipenda bana hamna level. Labda kama umetamani! Kupenda achana nako bana, mtu unajitosa hivyo hivyo! Hujaona watoto wa matajiri wanaolewa na wasukuma mikokoteni? Hujaona kijana wa darasa la nne anakamata mdada mwenye PhD? Au kijana wa miaka 20 anaoa jimama la 42yrs?
 
Same to you darling! Leo ntakunywa serengeti mbili kwa afya yako then ntahamia kwenye valeur kudumisha mila. Turudi kwenye mada sasa: Hivi kila mwanaume ana level yake? Utaijuaje level yako? Mi naamini mapenzi hayana level!


Xspin cheki hiyo red jana nilikuambiaje???

kwenye blue: level muhimu kaka yangu huezi sema dada uliye naye sasa au unayepanga kuwa naye hatakuwa level yako inabidi mpate kuendana endana ati la sivyo mambo hayataenda kabisa
 
Mchumba kiswahili kimenipiga chenga kidogo. Ufafanuzi hapo kwenye bold tafadhali.
Si kujishaua jamani mchumba.Mara ohh mie ile bandari yote ni yangu naimiliki.Na ule uwanja wa taifa nao ni wangu mechi ikichezwa mapato yote yanaanzia kwangu.Ilimradi yeye ndio yeye.anatanguliza mijisifa badala ya mapenzi na ndipo mnapokutana na watoto wa geti kali mnakoma kuringa.
Thanks God mchumba haupo hivo.You are yoursef! Iam proud of you
 
Tatizo hata nyie wanaume mnapojipresent kwa wadada mnakwenda huku mkijionyesha kwa pesa na siyo nyie kama nyie mkiwa na moyo ulojaa upendo.

Hujui kuwa mkono mtupu haulambwi? Lazima utangulize chambo ili upate kitu
 
Xspin cheki hiyo red jana nilikuambiaje???

kwenye blue: level muhimu kaka yangu huezi sema dada uliye naye sasa au unayepanga kuwa naye hatakuwa level yako inabidi mpate kuendana endana ati la sivyo mambo hayataenda kabisa

Hahaha! Wewe nawe bana! Hutaki nidumishe mila? ZD kaniruhusu, mi ntafanyaje na sitaki kumuudhi?
 
Si kujishaua jamani mchumba.Mara ohh mie ile bandari yote ni yangu naimiliki.Na ule uwanja wa taifa nao ni wangu mechi ikichezwa mapato yote yanaanzia kwangu.Ilimradi yeye ndio yeye.anatanguliza mijisifa badala ya mapenzi na ndipo mnapokutana na watoto wa geti kali mnakoma kuringa.
Thanks God mchumba haupo hivo.You are yoursef! Iam proud of you

Umeikagua Senksi niliyokugongea! Am also proud of you darling. We ni Level yangu haswaaa!
 
Hujui kuwa mkono mtupu haulambwi? Lazima utangulize chambo ili upate kitu

Swadakta mkuu hapo umenena ila si kila mara utangulize chambo ndo upate "thamaki". wengine chambo wanazo ila hawajui kutumia mwishowe anakosa kumvua "thamaki" yakheee!!
 
Hahaha! Wewe nawe bana! Hutaki nidumishe mila? ZD kaniruhusu, mi ntafanyaje na sitaki kumuudhi?

Punguza basi kidogo au jipumzishe kidogo upate kuimiss hiyo valeur
Nina uhakika mamaaa ZD atakubaliana nami kwa hapo maana toka xmas ni valeur tuu na wewe tutakupoteza hivihivi wallahi!!!
 
Swadakta mkuu hapo umenena ila si kila mara utangulize chambo ndo upate "thamaki". wengine chambo wanazo ila hawajui kutumia mwishowe anakosa kumvua "thamaki" yakheee!!

We bila chambo unakamatika?
 
Punguza basi kidogo au jipumzishe kidogo upate kuimiss hiyo valeur
Nina uhakika mamaaa ZD atakubaliana nami kwa hapo maana toka xmas ni valeur tuu na wewe tutakupoteza hivihivi wallahi!!!

Wewe unaujua ufanisi wa valeur kwenye kudumisha mila au unasema tu? Mwambie jamaa yako ajaribu uone kama hutanikumbuka!
 
Swadakta mkuu hapo umenena ila si kila mara utangulize chambo ndo upate "thamaki". wengine chambo wanazo ila hawajui kutumia mwishowe anakosa kumvua "thamaki" yakheee!!

Hehehehe tunasema unaishia kushika pembe wenzio wanakamua
 
Punguza basi kidogo au jipumzishe kidogo upate kuimiss hiyo valeur
Nina uhakika mamaaa ZD atakubaliana nami kwa hapo maana toka xmas ni valeur tuu na wewe tutakupoteza hivihivi wallahi!!![/QUOTE]

Nisaidie JS ,maana naona nasingiziwa eti napenda kumnywesha valuu,Hata sitaki kusema mengi mie.
 
Juzijuzi pale Mlimani city nilikuwa na washkaji wawili,mshkaji mmoja alimuona binti mzuri,mzuri saana yaani mweupeeee ngozi haijakwaruzwa hata kidogo,figure imeenda shule mtembeo wake unaleta raha ukimuanaglia anavotembea,sasa huyu jamaa yetu uvumilivu ulimshinda mpaka akachukua uamuzi wa kumfuata mdada akamwage sera za kufungua 'mawasiliano tamu',tulimjibu poa,jamaa aliondoka zake,mie na mshkaji mwingine tulibaki pale samaki samaki.Baada ya muda jamaa akarudi pale alipotuacha akiwa mnyongeee kwanza tulivoona hivyo tulicheka saaana yaani sana,tukamuuliza kulikoni? alitujibu kwa neno moja tu,"unanuka!" tulicheka saana tuliposikia hilo jibu.Huyu mshkaji mwingine akamjibu kwamba yule mdada hamfai anajua dharau!

Sasa kutokana na hili,kitu ninachojiuliza bila majibu hivi hawa wasichana wanatafuta nini mpaka wanadiriki kumtamkia mtu hayo maneno kwa mwanaume? Au malezi?

Huyo jamaa yako na yeye bwana mbona alimpapatikia hivyo huyo msichana?? hatufuatwi kiholela ati. angepaswa afanye mawasiliano ya macho kwanza (eye contact) na mdada, ampe muda wa kublush kidogo na yeye kwa mbali, jamaa naye ajipange, yani yale maandalizi ya mwanzo ni muhimu si kukurupuka tu kisa mdada ni mrembo mweupe anavutia na yeye na matamaa yake akaenda tu bila mpangilio. lazima angetolewa nje hata kama ni mimi ningekushangaa. fikisha ujumbe kwa rafiki yako sawa
 
Hehehehe tunasema unaishia kushika pembe wenzio wanakamua

Nimekugongea senksi kule kwa kuonyesha msisitizo wa sentensi hizi kwa ajili ya rafiki yake muanzisha thread (jina limenitoka kiduchu)
icon10.gif
 
Aaaa wapi! Ukipenda bana hamna level. Labda kama umetamani! Kupenda achana nako bana, mtu unajitosa hivyo hivyo! Hujaona watoto wa matajiri wanaolewa na wasukuma mikokoteni? Hujaona kijana wa darasa la nne anakamata mdada mwenye PhD? Au kijana wa miaka 20 anaoa jimama la 42yrs?


Chiss, mie cjazungumzia level ya kihivyo bwana na wewe, nimeongelea kimuonekano/ustaarabu, cjazungumzia kielimu/kiuwezo hapa, najua kabisa kupenda hakuchagui....mie enzi hizo maongezi/ustaarabu wa mtu ilikuwa ni kipaumbele changu, hata kama umeishia darasa la pili na mwingine ana degree zake lakini ustaarabu wa mtu upo pale pale.....umenipata?
 
Nimekugongea senksi kule kwa kuonyesha msisitizo wa sentensi hizi kwa ajili ya rafiki yake muanzisha thread (jina limenitoka kiduchu)
icon10.gif

Yeah itabidi siku moja twende Chuda
 
...jana jakobo zuma kaongeza mke wa tano.....!:D


Yule naye ana matatizo mke wa tano imagine na wa sita yuko mbioni tayari nilisoma habari hiyo jana mila zote za mke wa sita tayari
Hivi kuna raha gani kuoa wanawake wengi hivyo? sori off pointi kidogo
 
Back
Top Bottom