bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
haa kadungwa kristapeni, cku inakuharibikia hivi hivi unaiona, jamaa kajiendea "dada ssamahani naomba kuongea na wewe kidogo".....jibu alilopewa akanywea mwenyewe.
hahaaa alijuta kwenda mlimani city!!!! kutongoza tongoza tu, ngoja siku mkutane na majini ya mh. Sheikh Yahaya sasa!!!!