Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Aise itakuwa ni siku ya maombolezo kwa mwanaume kiukweli kabisa; kwani nafsi yake imeumbwa kutenda kama kiongozi sas ikiwa mawazo yake yanabaki kuwa kama kiongozi ; lakini matendo yanakuwa ya muongozwaji huoni kuwa hakuna hata kioja katika kutendewa amabacho mwanaume atakifurahia.................ita kuwa ni uchungu kwenda mbele.