Mmhhh 9!!! Nadhani utakuwa ni wewe pekee yako unayeipenda kwa hapa bongo. Labda unaweza kupata wafuasi huko ulaya.[/QUOT
Wewe mwanamme anatakiwa awe namba Tisa yaani mambo ya shoulder zilizokwenda shule chini mdogo kiasi
Hapana bwana mwanaume anatakiwa awe namba 1. so energetic na mwepesi namba 9 anaelemea tu sio mtundu
Tofautisheni kati ya Kutamani na Kupenda jamani.......Kutamani=hulka,Mkia umejazia,sijui number 1,6,8,9 etc
NB:Kupenda=tabia,heshima, ushirikiano,anayekosoa pale mmoja anapokosea,anaelewesha nini anataka,anamawazo ya maisha ya mbeleni si ya kipindi cha ujana tu.... Na kadhalika.
Hii namba huwa inaumiza sana pelvic g
Namba 8 ndio yenyewe!!
He he heeh! Mbona unajihami mapema mkuu?Ila wasiwe na midomo mikubwa kama mtangazaji mmoja maarufu Bongo! Wenye midomo hiyo wanachosha haraka sana! Jamani sijamtaja mtu jina mimi hapa, ila najua kuna uwezekano mtu akanunua kesi ambayo siyo yake!
He he heeh! Mbona unajihami mapema mkuu?
Inategemea unapenda kwa ajili ya nini. Siku hizi kuna wanawake wa kuoa na wa kutokea. wa kutokea utataka awe na shep flan 8/6/1 kutokana na kimo chake. Lakini unapokwenda deep kwe marriage, ni tofauti kabisa. Hauoi umbo but what contents it entails. Tabia, uwezo wa kufikiri, Upendo, Huruma, Kumjua Mungu n.k. Yawezekana ukapata mwenye figa unayotaka na akawa na vigezo tosha kuwa mke, lakini kwa ufahamu wangu mdogo nilionao, wengi wanaojiona wazuri wana maisha mbayo ni complicated kukaa na wanaume classic (ambao hawapendi mambo ya kujikweza), Nasema hivi kwa kuwa nimeona wadada kadhaa ambao wengine walikua shemeji zangu, ila kwa hulka za kujiona ni matawi ya juu wakawapiga chini makamanda, lakin mpaka leo kule walikoenda wamekipata cha moto, hawajaolewa, ni kuvamia waume za watu, wakijua kua beauty is expensive, wata-maintain vipi kwa mishahara ya bongo?
Your topic is still open, and very subjective.