Sasa nitapata kichaa!!
Tangu asubuhi ni matatizo tu.. nimeanza na Gwajima na Kova, nimekuja Tanesco na Mhando na Mbunge wetu, Nimesikitishwa kukosa kiwanja Gezaulole... Sasa hili tena... hivi kweli hii nji tutafika? yaani tuna mambo mengi kweli ya kusolve!!!
Huyo ni mjinga ndiyo maana hata mwanaume ameona kuishi na pumbavu haifai. Hivi kweli kuna wanawake wenye akili za kizoba hivyo? Rafikio akilize zimeloose connection.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.