Hivi wanasiasa wakisema kuwa DAMU Itamwagika huwa wanamaanisha damu ya nani?

Mkaruka

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
19,617
34,061
Hili swali limenisumbua sana.Naomba mwenye majibu anisaidie.Maana wapo wanasiasa ambao hawawezi kuzungumza bila kutaja jambo hili.
 
Tungejiuliza kwani ni nini kinachopelekea kauli hii kutolewa?
 
Hii inshu ya Zanzibar watu tunaongea tu kama masihala. Usiombee machafuko sehemu ya kisiwa huwa ni noma. Nachukulia hali hii na visiwa vya Mwanza kama Inkuza inapotokea majambazi wamevamia.
 
Tusaidiane kujibu mada, je kwa nini damu imwagike? Huwa wanamaanisha nini?
Watatetea misimamo yao hata kama ni kwa shari,uvunjifu wa amani na hata kifo,aidha wao wafe au waue. Tafsiri rahisi ni hiyo,kama kuna maana tofauti wanayoikusudia,ni heri waulizwe ili wafafanue.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Itamwagika damu ya wapumbavu wachache wanaotumiwa na wanasiasa kwa ajili ya kufikia malengo yao ya kisiasa......na wasiojua kuwa wanaowapigania wana malengo yao binafsi na wala sio kitaifa kama wanavyorubuniwa kwenye mikutano......kuna baadhi tulisikia wameshahamisha fedha zao kwenye mabenki ya nje huku sisi tukiungua na jua viwanjani na porojo zao....wao wanatengeneza maisha yao na ya familia zao......NDIO HAO TUNAOWASIKIA WAKITAKA DAMU ZIMWAGIKE....
 
Wanamaanisha damu za wananchi wa kawaida (wao hawapo), tena wakiwa wanaongea utafikiri wanaongelea damu ya mbuzi au kuku, wanasiasa ni ni watu hatari sana, lakini HAKI ni jambo la muhimu sana kuliko Amani na kama HAKI haitendeki katika taifa lolote basi hakutakuwa na amani na damu za wananchi wa kawaida wasio na hatia zitamwagika ili walio madarakani walinde maslahi yao ndiyo mambo yalivyo
 
Ni wanahamasisha vita tu hamna jingine, huwa nawashangaa sana, ooooh damu itamwagika, mara sijui nini.
Kwao watafurahi wakiona watu wanavujishana damu ila uzuri watanzania wengi tuna akili. Wanataka tutoane damu alafu wao wanaangalia kwenye Tv na kukenua.
 
Wanamaanisha damu za wananchi wa kawaida (wao hawapo), tena wakiwa wanaongea utafikiri wanaongelea damu ya mbuzi au kuku, wanasiasa ni ni watu hatari sana, lakini HAKI ni jambo la muhimu sana kuliko Amani na kama HAKI haitendeki katika taifa lolote basi hakutakuwa na amani na damu za wananchi wa kawaida wasio na hatia zitamwagika ili walio madarakani walinde maslahi yao ndiyo mambo yalivyo
Wanamaanisha damu za wananchi wa kawaida (wao hawapo), tena wakiwa wanaongea utafikiri wanaongelea damu ya mbuzi au kuku, wanasiasa ni ni watu hatari sana, lakini HAKI ni jambo la muhimu sana kuliko Amani na kama HAKI haitendeki katika taifa lolote basi hakutakuwa na amani na damu za wananchi wa kawaida wasio na hatia zitamwagika ili walio madarakani walinde maslahi yao ndiyo mambo yalivyo
Wanamaanisha damu za wananchi wa kawaida (wao hawapo), tena wakiwa wanaongea utafikiri wanaongelea damu ya mbuzi au kuku, wanasiasa ni ni watu hatari sana, lakini HAKI ni jambo la muhimu sana kuliko Amani na kama HAKI haitendeki katika taifa lolote basi hakutakuwa na amani na damu za wananchi wa kawaida wasio na hatia zitamwagika ili walio madarakani walinde maslahi yao ndiyo mambo yalivyo
Wanamaanisha damu za wananchi wa kawaida (wao hawapo), tena wakiwa wanaongea utafikiri wanaongelea damu ya mbuzi au kuku, wanasiasa ni ni watu hatari sana, lakini HAKI ni jambo la muhimu sana kuliko Amani na kama HAKI haitendeki katika taifa lolote basi hakutakuwa na amani na damu za wananchi wa kawaida wasio na hatia zitamwagika ili walio madarakani walinde maslahi yao ndiyo mambo yalivyo
Lakini neno haki,kila mtu analitafsiri na kuliweka anavyoona lina FAIDA Kwake.Hata jambazi anaona ni HAKI YAKE Kuvamia kwa UHURU.kWA MANTIKI HIYO HUTTOKUJA KUIONA HAKI DUNIANI.
 
Wanaongea kulingana na historia inavyoonesha, pasipo haki basi damu humwagika.

Angalia mfano wa yule kijana mtunisia alivyojichoma moto kutokana na kuharibiwa kibanda chake cha biashara...machafuko yakaenea.

Ila mara nyingi wanasiasa hutufanya chambo sie wa hali ya chini, ilhali wanahakikisha familia zao zinakuwa safe....
 
Wanaongea kulingana na historia inavyoonesha, pasipo haki basi damu humwagika.

Angalia mfano wa yule kijana mtunisia alivyojichoma moto kutokana na kuharibiwa kibanda chake cha biashara...machafuko yakaenea.

Ila mara nyingi wanasiasa hutufanya chambo sie wa hali ya chini, ilhali wanahakikisha familia zao zinakuwa safe....
HAKI ni nini????????Kila mtu anachokipigania anaona NI HAKI YAKE,SASA NI NANI MWENYE HAKI NA NI NANI WA KUMPA MTU HAKI.
 
wanamaanisha wewe na familia yako, ukoo wako,ng'ombe zako nguruwe....kuku mtafutika katika uso wa dunia
 
Back
Top Bottom